Kibendera kawabeba kwann awahi kunyanyua kibendera kwenye tight offside call km ile ilhali alitakiwa aache gemu iendelee VAR iamue baadae?1 Madrid angekuwa amebebwa mbona goal lake alofunga Kwa foul lilikataliwa hadharani na alikubali kiroho safi. Na ilikuwa ni haki likataliwe sababu Nacho alimsukuma mtu
2. Ile last attempt (offside) ya bayern ni kwamba filimbi ya kusimamisha mpira ndio ilitangulia halafu goal la Bayern likafuata je lingeruhusiwa Ingekuwa ni haki ?
Kosa kubwa kabisa ni sub ya tuchel.Bado siamini tumeingiaje final
Mbona TV ilionesha mstari wa mpira na mfungaji wakati krosi inapigwa.Tuambie waliua offside kivipi? Elezea tukusikie, watu wanajua football humu
Mpiga uliopigwa ulikuwa mbele kuliko JOSELU .kuna mchezaji wa bayern alibakia nyuma joselu akamtegea akamaliza kazi
Madrid huwa anafungwa baada ya refa kupuliza filimbi, sijui dk 85, 88 au za nyongeza! bado hujamshinda Madrid.Ukicheza na Madrid subiri refa amalize game dk 90 ndio ushangilie kumfunga
Goli za Jana ni dk ya 88 na 91Madrid huwa anafungwa baada ya refa kupuliza filimbi, sijui dk 85, 88 au za nyongeza! bado hujamshinda Madrid.
usipotezee mda wako kuelimisha watu ambao wanatumia Hisia kutafsiri matukio mtu kacholewa mstari ni onside anakaa bado anauliza maswali ya ajabuMpiga uliopigwa ulikuwa mbele kuliko JOSELU .
Tatizo hatuijui vizuri sheria ya Offside, tunabwata tu.
Kama mpira uko mbele kuliko mfungaji wakati kross inapigwa hiyo si offside.
kwani icho alichofanyiwa jana ni mara yake ya kwanza 2022 kafanyiwa ivyo ivyoDah Tuchel...
Ulikua uko right track hadi ulipokutana na Carlo or no sio Carlo ni Madrid...
Nakumbuka mwaka fulani Pep alifanya kosa kama lako akaadhibiwa, hukujifunza?
Au ulimuona fala?
Pale Madrid kuanzia kocha hadi mashabiki ni majini.
wew kila siku tunakwambia fainaili ilishachezwa ETIHAD huelewi umenganana na kuama ama ama timu
Naunga mkono hoja 🤣😁Mpiga uliopigwa ulikuwa mbele kuliko JOSELU .
Tatizo hatuijui vizuri sheria ya Offside, tunabwata tu.
Kama mpira uko mbele kuliko mfungaji wakati kross inapigwa hiyo si offside.
Mbona TV ilionesha mstari wa mpira na mfungaji wakati krosi inapigwa.
Au nayo ilipendelea?
Na ndio kilichomua thomas kuna mda alikua anaamini mechi imeisha wakati game ilikua mbichi kabisa
kuna mchezaji wa bayern alibakia nyuma joselu akamtegea akamaliza kazi
Naunga mkono hojaMovie bado haijasha,
Baada ya kupata goli, 20 minutes to go, Bayern wakaanza kutegemea drama. Si unaona hata disallowed goal la Real Madrid, jamaa badala ya kudefend tucheze mpira wakaanza kuhamia Hollywood. Kuna mambo kwenye hii knock out stage yanakera sana. Refa nae sijui sababu gani alikuwa hataki kumaliza mpira baada ya dakika 15 za nyongeza, yaani alimradi tu watuharibie sherehe