Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

IMG-20240509-WA0004.jpg

VJ7
 
For those who did not know:

When a player is technically forward, but he has a part of his body (with which he can score) in line with the last defender, this will not be called offside. In order for an offside position to be signaled correctly, one of the parts of the player's body with which he can score a goal must be in front of the last defender, so in football it is not marked with the hand, the hand does not make that offside position , but leg, body and head.
 
1 Madrid angekuwa amebebwa mbona goal lake alofunga Kwa foul lilikataliwa hadharani na alikubali kiroho safi. Na ilikuwa ni haki likataliwe sababu Nacho alimsukuma mtu

2. Ile last attempt (offside) ya bayern ni kwamba filimbi ya kusimamisha mpira ndio ilitangulia halafu goal la Bayern likafuata je lingeruhusiwa Ingekuwa ni haki ?
Kibendera kawabeba kwann awahi kunyanyua kibendera kwenye tight offside call km ile ilhali alitakiwa aache gemu iendelee VAR iamue baadae?
 
Kosa
Bado siamini tumeingiaje final
Kosa kubwa kabisa ni sub ya tuchel.

Kisha don carlo akagundua uhitaji wa namba 9 asili, kuna mipira kadhaa vin aliingia nayo kwenye box lakini kuna mtu alikuwa anakosekana. Baada ya zile sub niliamini game inaenda extra na bayern anakufa extra, wasingeweza kumudu ile presha kwa dk 30 za nyongeza.

Yote 9, camavinga vs tchoumeni, nampenda zaidi cama,ana sifa nyingi kuliko tchoumeni
 
Dah Tuchel...

Ulikua uko right track hadi ulipokutana na Carlo or no sio Carlo ni Madrid...

Nakumbuka mwaka fulani Pep alifanya kosa kama lako akaadhibiwa, hukujifunza?

Au ulimuona fala?

Pale Madrid kuanzia kocha hadi mashabiki ni majini.
 
Mpiga uliopigwa ulikuwa mbele kuliko JOSELU .

Tatizo hatuijui vizuri sheria ya Offside, tunabwata tu.

Kama mpira uko mbele kuliko mfungaji wakati kross inapigwa hiyo si offside.
usipotezee mda wako kuelimisha watu ambao wanatumia Hisia kutafsiri matukio mtu kacholewa mstari ni onside anakaa bado anauliza maswali ya ajabu
 
Dah Tuchel...

Ulikua uko right track hadi ulipokutana na Carlo or no sio Carlo ni Madrid...

Nakumbuka mwaka fulani Pep alifanya kosa kama lako akaadhibiwa, hukujifunza?

Au ulimuona fala?

Pale Madrid kuanzia kocha hadi mashabiki ni majini.
kwani icho alichofanyiwa jana ni mara yake ya kwanza 2022 kafanyiwa ivyo ivyo
wew kila siku tunakwambia fainaili ilishachezwa ETIHAD huelewi umenganana na kuama ama ama timu
 
Movie bado haijasha,
Na ndio kilichomua thomas kuna mda alikua anaamini mechi imeisha wakati game ilikua mbichi kabisa

kuna mchezaji wa bayern alibakia nyuma joselu akamtegea akamaliza kazi

Baada ya kupata goli, 20 minutes to go, Bayern wakaanza kutegemea drama. Si unaona hata disallowed goal la Real Madrid, jamaa badala ya kudefend tucheze mpira wakaanza kuhamia Hollywood. Kuna mambo kwenye hii knock out stage yanakera sana. Refa nae sijui sababu gani alikuwa hataki kumaliza mpira baada ya dakika 15 za nyongeza, yaani alimradi tu watuharibie sherehe
 
Movie bado haijasha,




Baada ya kupata goli, 20 minutes to go, Bayern wakaanza kutegemea drama. Si unaona hata disallowed goal la Real Madrid, jamaa badala ya kudefend tucheze mpira wakaanza kuhamia Hollywood. Kuna mambo kwenye hii knock out stage yanakera sana. Refa nae sijui sababu gani alikuwa hataki kumaliza mpira baada ya dakika 15 za nyongeza, yaani alimradi tu watuharibie sherehe
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom