Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Master
Screenshot_20240509-000920_1.jpg
 
Najua fainal haitakuwa nyepesi kwa sababu hawa Dortmund wana vijana wengi sana na wana kazi balaa..

Natamani fainal pale golini awepo Thibo,kwa sababu uwezo wake wakusoma mwendo wa mchezaji ni mkubwa sana.

However,for now tusherehekee kufika fainal expecting tunaenda kuchukua ndoo ya 15.
 
Mpira kitu cha ajabu sana, Neuer amefanya saves nyingi kweli nyingine unaona kabisa angekuwa golikipa mwingine ingekuwa goli, ila mpira wa Vinicius ukamshinda kuudaka.,
 
Fainali ingekua tamu kama Madrid wangecheza na PSG
Najua fainal haitakuwa nyepesi kwa sababu hawa Dortmund wana vijana wengi sana na wana kazi balaa..

Natamani fainal pale golini awepo Thibo,kwa sababu uwezo wake wakusoma mwendo wa mchezaji ni mkubwa sana.

However,for now tusherehekee kufika fainal expecting tunaenda kuchukua ndoo ya 15.
 
Back
Top Bottom