pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,728
Mimi naona bado makocha wengi wataendelea kupokea vipigo vya dakika za jion nakushangaza hapa Bernabeu kwa sababu akili ya wadau wote wa madrid tunaamini mechi imeisha pale refa anapopuliza filimbi yakumaliza mchezo.Jamaa aliona kama ameshamaliza game, ndio maana akafanya sub za kiboya vile, ninadhani aliamua kujilinda zaidi.
Ndo maana naamini kuwa "pale ambapo timu pinzani inaona imeikamata madrid katika mchezo,basi ukwel ni kuwa timu hiyo ndio imekamatwa na madrid imeilazimisha hiyo timu icheze hivyo ili madrid aweze kupata ushindi",
Matokeo ya namna hii yenye msisimko hayaji bahati mbaya wala bahati bali ndio tabia za club bora dunian namna inavyouendea mchezo nakutaka matokeo.
