Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,360
Real Madrid 2-0 Cadiz
Hapana Mkuu, tunahitaji point moja tu ili kutangaza Ubingwa, na endapo Barca leo akitoa droo ama kufungwa na Girona tutakuwa mabingwa rasmi.Endapo tukishinda leo tunabakiza point 4 tubebe kombe.
Assuming Barca anampiga Girona
Nafikiri bado anawoga wa majeruhi.Anajitahidi, japokuwa ninaona kama anacheza kwa uoga sana
Hapana Mkuu, tunahitaji point moja tu ili kutangaza Ubingwa, na endapo Barca leo akitoa droo ama kufungwa na Girona tutakuwa mabingwa rasmi.

jude leo kafunga mamluki huwezi muona kashachungulia live score
Champions leauge hiyo ipo njiani
TONI KROSS
toni akuwa na mahala pakwenda and that's where God stepped in and show him miracle wonders...
Wewe ni muongo.toni managed to win all the trophy at the club level with Madrid and it was a loss for losing him for Bayern munich
dah for context wise ni kitu umeshindwa tuliza akili kufungua ufahamu kuelewa nini goal ya hio makala hapo juuWewe ni muongo.
Hujui mpira.
Mpira = biashara + championship
Timu haiwezi kukumbatia wachezaji wote hata wawe wazuri aje... Eti kisa wataleta ushindi. Kumbuka Payroll inawahusu.
Kwa akili yako, basi hakuna timu ambayo haijaingia hasara kwenye uuzaji wa wachezaji.
- Madrid aliingia hasara kumuuza Robben.
- Chelsea aliingia hasara kumuuza Debruyne
- Madrid (tena) aliingia hasara kumuuza Dimaria kisa Rodriguez
- Arsenal aliingia hasara kumuuza Gnabry
- Man United waliingia hasara kumuuza Ronaldo
- Tottenham waliingia hasara kumuuza Modric
Usiwe una copy na kupaste content za watu... Andika uchambuzi wako binafsi.