Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Na tatizo kubwa la huyo kijana ndio hilo, one of the best player in the world, sijua huwa mnatoa wapi munakubali kukaririshwa tu, One of the best player in the world ndivyo anavyokua na standard ile? yakupotea uwanjani gam nzima? Jamaa Champion league toka ianze round of 16 hana Goli wala Assist.

1. kuwa stateter England sio hoja yenye mashiko mana hata Magure nae pia ni starter England

2. Aliekwambia nani kuwa watu wakituoa hela ndefu wanajua wanachokifanya? Barca ililipa nearly 160m kwa Coutinho wakaishaia kula hasara nzito, hao Madrid walilipa 100m kwa hazard wakaishia shoti ndefu. chelsea wamtumia nearly 1 B ndani ya misimu miwili na timu ipo kwenye hali mbaya sana, tuache maisha ya kukariri sio kila wanachofanya wazungu ndio lazima kiwe sahihi.

3. nakukosoa mkuu amepitwa pia na lewandowski sio dovbky peke yake, na ni kweli amkua na mchango ila mkuu since January hata goli tano hajafikisha, upeopo umkata mda mrefu sana sasa.

4. Experience yangu inanambia ni ngumu sana kwa wachezaji wa kiengereza kudevolope zaidi ya wanapoanzia, wengi wao best years zao ni wakiwa makinda.
okay japo in my final suggestion tumpe kijana muda
pengine ni zidane kweny kivuli kikavu tunapokuwa na pupa hatutaliona hilo... pia ni mapema sana kusema chochote iwe much positive tuta overrate mambo na pia much negativity tunakuwa tunaviua vipaji mapema

trust the process
 
Mkuu unajiaibisha sana,
Musiala ni photocopy ya akina leo Messi, David silva, Iniesta
Jud ni photocopy ya akina kevin prince boateng
aisee jude sio copy ya zidane tena

kwahio mna conclude nn sasa twende tukamswap na musiala pale bayern au tum uzie city afu hio pesa tukamchukue musiala

au tumlete musiala CAM aje acheze na CAM mwenzie jyde kwa pamoja
 
aisee jude sio copy ya zidane tena

kwahio mna conclude nn sasa twende tukamswap na musiala pale bayern au tum uzie city afu hio pesa tukamchukue musiala

au tumlete musiala CAM aje acheze na CAM mwenzie jyde kwa pamoja

Zidane na Jude wapi na wapi mkuu? Kwa kweli ni matusi kabisa
 
Mkuu unajiaibisha sana,
Musiala ni photocopy ya akina leo Messi, David silva, Iniesta
Jud ni photocopy ya akina kevin prince boateng
kumbe Uwezo wa MTU inategemea na photocopy?

Hata Nasi tunataka tujue wewe zimo au hazimo!!!

Basi tuambie wewe ni photocopy ya nani?

Maana usiwe unawajua ma photocopy wa wenzio ilihali we hujui mi photography wa nani.
 
Habari njema ni kuwa kipa letu la kibelgium limerudi na Jumapili litakuwa uwanjani kukipiga ili kupata match fitness.

Itakuwa njema akikaa golini siku ya match ya marudio na Bayern maana Lunin ukipiga tegeta na mbagala as long ulenge goli ujue imo.
 
Sioni haja ya huu mjadala., sana sana kuna watu wanataka kumshusha Jude basi., ila ninachojua ni kuwa kijana bado ana muda wa kubadilika na kuendelea kuimarika, ndio kwanza ana miaka 20 tu.
Kama Vinicius Jr amebadilika na kuimarika sioni kwanini isiwe kwa Jude.
Comment hii ifunge rasmi huu mjadala. Well said bro
 
Huyu Arder akipewa nafasi za mara kwa mara anaweza kuwa msaada mkubwa sana, skills zake za kusakata kabumbu zinatia matumaini sana.
 
Militão bado hayupo makini, mara ya pili anatoa boko, ila Courtois anasahihisha makosa yake.
 
Back
Top Bottom