ni mawazo yako it's okay yaheshimiwe but hawa waliopo still bado ni wachezaji wetu hata mtu aweje inabidi tumvumilie sisi kama fans tumkumbatie maana huyo ndio wetu sisi
still kwa jude naona bado muda wakutoa conclusion kwa wanaomjua vizur ni one of the best player in the world right now
1 starter for England team CAM hamna wakumuweka benchi
2 price tag of 180m watu walio mvalue sio kwamba hawajui mpira kutuzidi sisi
3 21G/A in laliga ni wapili toka dovbky na amekuwa mchango mkubwa hasa katika mechi za laliga alikuwa on fire
4 he is young with much time to adapt from the best in order for him to be the best
5 ongezea
Na tatizo kubwa la huyo kijana ndio hilo, one of the best player in the world, sijua huwa mnatoa wapi munakubali kukaririshwa tu, One of the best player in the world ndivyo anavyokua na standard ile? yakupotea uwanjani gam nzima? Jamaa Champion league toka ianze round of 16 hana Goli wala Assist.
1. kuwa stateter England sio hoja yenye mashiko mana hata Magure nae pia ni starter England
2. Aliekwambia nani kuwa watu wakituoa hela ndefu wanajua wanachokifanya? Barca ililipa nearly 160m kwa Coutinho wakaishaia kula hasara nzito, hao Madrid walilipa 100m kwa hazard wakaishia shoti ndefu. chelsea wamtumia nearly 1 B ndani ya misimu miwili na timu ipo kwenye hali mbaya sana, tuache maisha ya kukariri sio kila wanachofanya wazungu ndio lazima kiwe sahihi.
3. nakukosoa mkuu amepitwa pia na lewandowski sio dovbky peke yake, na ni kweli amkua na mchango ila mkuu since January hata goli tano hajafikisha, upeopo umkata mda mrefu sana sasa.
4. Experience yangu inanambia ni ngumu sana kwa wachezaji wa kiengereza kudevolope zaidi ya wanapoanzia, wengi wao best years zao ni wakiwa makinda.

aisee jude sio copy ya zidane tena