Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Wewe ni muongo.
Hujui mpira.
Mpira = biashara + championship

Timu haiwezi kukumbatia wachezaji wote hata wawe wazuri aje... Eti kisa wataleta ushindi. Kumbuka Payroll inawahusu.

Kwa akili yako, basi hakuna timu ambayo haijaingia hasara kwenye uuzaji wa wachezaji.

  • Madrid aliingia hasara kumuuza Robben.
  • Chelsea aliingia hasara kumuuza Debruyne
  • Madrid (tena) aliingia hasara kumuuza Dimaria kisa Rodriguez
  • Arsenal aliingia hasara kumuuza Gnabry
  • Man United waliingia hasara kumuuza Ronaldo
  • Tottenham waliingia hasara kumuuza Modric

Usiwe una copy na kupaste content za watu... Andika uchambuzi wako binafsi.
people don't just write about stuff without a clue.... unafikiri watu hawana credibility ya kuwaza what's the outcome of my writings

kiufupia pia hio niliyo andika ni sawa na jee wajua something someone is going to learn about know the beginning and also learn to appreciate what's theirs at the moment
Screenshot_20240505-134403_Chrome.jpg
Screenshot_20240505-134413_Chrome.jpg
 
TONI KROSS

kijana aliyetemwa na uongozi wa Bayern (board) kisa kutotaka kumuongezea mshahara sawa na gotze wakizaniya kross hayupo sawa na wenzie yani kwamba yeye sio world class na kupelekea kuwa na mahusiano mabaya na uongozi uliopelekea kutaka kuuza

mbali na mtafaruko huo pep Guardiola akiwa kama manager wa bayern ali isistiza board wamuache kijana akue na a revolve kwani alikuwa aki mtumainia kuja kuwa World class uko mbeleni

hawakumsikiliza pep and they made a huge mistake....

they finally decided to depart him to other clubs one of it ilikuwa ni Barcelona... but guess what

Barcelona rejected toni... not once but twice (2) under their manager luis Enrique he kept insisting that ivan racktic would be a better recruitment more than Bayern Munich CM ( toni kross)

toni akuwa na mahala pakwenda and that's where God stepped in and show him miracle wonders... Bayern Munich received an inquiry from Madrid they came with an offer for 25million for the upcoming goat midfielder one of the maestro of football

he arrived in Madrid na wala hakuwa a shocking signing only 8000 fans arrived at his presentation the same year they presented james Rodriguez where more than 40000 fans arrived for the Colombian star

and the rest to this world was history where toni managed to win all the trophy at the club level with Madrid and it was a loss for losing him for Bayern munich

ladies and gentlemen the king maestro TONi KROSS

Mkuu maelezo yako sio sahihi kabisa,

  • Kroos aligombaniwa sana wakati anaondoka ila mwenye alichagua kwenda Real Madrid
  • Bei aliyonunuliwa ilikuwa ni kubwa ukiangalia alibakisha mkataba wa mwaka mmoja, fanya tafiti wachezaji waliokuwa wamebakisha mwaka mmoja ndani ya mkataba waliuzwaje kwa kipindi hicho.
  • Tatizo kubwa la buyern na kroos ilikuwa ni ishu ya mshahara, Kroos ali demend mshahra mkubwa kiasi, Buyern sio kama waliona hastahiki hapana, ila walichohofia ni kuwa wangelimuengezea ingeleta mtaharuki kidogo kwenye timu mana timu ilikuwa ina wachezaji wengi wazawa wenye viwango vikubwa ambao walikuwa wakilipwa mishahara ya kawaida sana kuanzia Lahm, schweinsteiger, neuer, muller ambao wote walikuwa ni seniors kwake kwahiyo lazima nawao wasingelikubali na wao wangelitaka mishahara mikubwa ambapo hapo lingekuwa tatizo kubwa kwao, na ndio mana wakaamua kum sacrifice, Kwa kweli yalikuwa ni maamuzi magumu sana kwao.

Mkuu Kroos alikuwa tayari ni world cup winner tena katika key players wakati anaondoka Munich
 
Wewe ni muongo.
Hujui mpira.
Mpira = biashara + championship

Timu haiwezi kukumbatia wachezaji wote hata wawe wazuri aje... Eti kisa wataleta ushindi. Kumbuka Payroll inawahusu.

Kwa akili yako, basi hakuna timu ambayo haijaingia hasara kwenye uuzaji wa wachezaji.

  • Madrid aliingia hasara kumuuza Robben.
  • Chelsea aliingia hasara kumuuza Debruyne
  • Madrid (tena) aliingia hasara kumuuza Dimaria kisa Rodriguez
  • Arsenal aliingia hasara kumuuza Gnabry
  • Man United waliingia hasara kumuuza Ronaldo
  • Tottenham waliingia hasara kumuuza Modric

Usiwe una copy na kupaste content za watu... Andika uchambuzi wako binafsi.

Mkuu kuna mambo mengi huwa tunazungumza kimihemko tu ila hayana uhalisia

Hakuna hasara yoyote iliyopatikanwa hapo kwa kuuzwa hao wachezaji labda kwa ishu ya Robben tu.

- De bruyne alishindwa ku develop akiwa chelsea, na huyo de bryune tunaemuona sahivi asingelipatikanwa kama angeendelea kubaki Chelsea, KDB ali develop alipokuwa Germany na ndipo alipoanzwa kuchezeshwa midfield badala nafasi yake ya awali winger. Kwa CHelsea angeendelea kubaki kuwa winger na pengine hivi sasa angelikuwa ameshasahauliwa.

- Madrid haikula hasara kumuuza Di maria mana hapakuwa na pengo lake popote, Tukumbuke kuwa nafasi ya Di maria ilishachukuliwa na Bale wakati bado Di maria akiwepo, Carlo alijiongezo na akamdevlop akawa anacheza Midifield, Ni kweli DI maria alikuwa ana uwezo mkubw akuliko Bale na James, ila kuondoka kwake hakukuiathiri timu kwa chochote. Na madrid walipiga faida ndefu kumuuza kwake.

- Ishu ya Arsenal na Gnabry ni hivo hivo kama ya KDB, Gnabry ali develop baada ya kuondoka arsenal, angeendelea kubaki pengine angeishia kuwa Carlos Vela mwengine.

- Man Utd walipata hasara kwa njia gani? a) walipata faida ndefu kwa kumuuza Ronaldo, b) Ronaldo hakuwa tayari kubaki tena kwenye timu kwa maana hata wasingemuuza angeishia kuondoka bure. c) Mafanikio na tunzo alizozipata akiwa Real usifikirie kuwa pia angelivipata akiwa Man Utd, Real MAdrid ilikuwa timu bora iliyomsaidia akapata mafanikio Bora usifikirie zile 50+ Goals angeliweza kuzifunga pale man utd au yale mataji ya Champion League yalioyjipanga angeyapata pale Man utd chini ya David Moyes na Van Gaal. huku team mates wake wakiwa akina Rashford na Evans.

- Modric asingefikia peak yake akiwa na timu kama spurs ambayo ilikuwa ikicheza mpira usioeleweka, mpaka anaondoka Spurs alishafikia kuchezeshwa forward kabisa position ambayo sio nzuri kwake na alishaondolewa kwenye midifield mana alikuwa hapigi mikasi.
 
Press Conference
Dani Carvajal revealed his delight at the strides made by Vinicius Junior ahead of Real Madrid's clash with Bayern Munich.

Vinicius Junior has come on leaps and bounds and is proving himself as one of the best players in the world, according to Real Madrid team-mate Dani Carvajal.

The pair are gearing up for Madrid's mouth-watering Champions League semi-final second leg against fellow European heavyweights Bayern Munich, with the tie finely poised at 2-2.

Vinicius scored both goals for Carlo Ancelotti's side in last week's first leg, taking him to 31 goal involvements (16 goals, 15 assists) in the Champions League since the start of the 2021-22 season, more than any other player during that time.

And Carvajal says the strides made by the 23-year-old are evident.

"He's improved in every aspect - his finishing, physically, his maturity when playing, knowing when it's right to attack the space or to ask for the ball to be played to his feet," the full-back told reporters during the pre-match press conference.

"He's one of the best players in the world, and he's proving that. We know that he puts in a lot of work away from [the training ground], having his training sessions, physio and coaching.

"All of this is helping him to be one of the best in the world. Hopefully, he can help us on the pitch [in the second leg] and see us through."

The most successful side in the competition's history, Madrid are aiming to remain on course for a 15th European crown, while Ancelotti targets a record-extending sixth appearance in the final as a manager.

"There's not much more to say when the time comes to play the second leg of a semi-final in your home stadium," Carvajal added. "The motivation of the match itself ensures that your attention level is at its highest.

"We know that we're up against a side with a history in this competition [six titles], so we have to attempt to beat them and reach the final."
 
Back
Top Bottom