Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ulikuwa uoga wa Ancelloti tu, ila Lunin ni golikipa mzuri sana, alihitaji kuaminiwa tu basi, alitaka kuondoka msimu uliopita akaghairi, sioni akiondoka tena kwasasa.

Tchouameni amesettle sasa, sina wasi wasi nae tena, jana amecheza kwa utulivu sana, sema siku nyingine tunacheza na team aina ya Barcelona sio vibaya Camavinga akaanzia mbavu ya kushoto, huwa anaongeza flow ya mshambulizi pia tunashika dimba vizuri.
 
1705611462135.png
 
Hao ndio vijana walio uwanjani muda huu wakituwakilisha dhidi ya Atletico Madrid, kwenye Kombe la Mfalme round ya 16
 
Last night we went down 4- 2 mwanetu morata anajuaga kutuadhibu sana anasahau sisi ndo tumemkuza. We have lost one silverware.
Ile game ilikuwa na intensity ya juu sana, yaani ule mchaka mchaka ulikuwa sio, halafu sijui kwanini aliaamua kuanza na Modric, nilitamani aanze Kroos na Tchouameni, na ikiwezekana Camavinga aanze kama beki wa kushoto, tungeweza kubalance mambo, kwasababu jamaa alikuwa na watu wengi sana pale kati.,
 
Hii game tusibobadilika hatuchomoi hili goli, hatuchezi kiteam haswa robo tatu ya uwanja., na jamaa wapo wengi, wana kazi moja tu ya kuziba njia., na bahati mbaya tunatumia sana winga so wanaenda watatu kumkaba mtu mmoja,
 
Ningependa kuona Mendy anaenda nje, nafasi yake aingie Camvinga, pale mbele ikiwezekana atoe wote, aingie Joselu na Brahim Diaz, baadae anaweza kumtoa Tchouameni akaingia Arda Güler., hii game inahitaji watu wachezaji wanaoweza kumiliki mpira na kutengeneza nafasi..
 
Ningependa kuona Mendy anaenda nje, nafasi yake aingie Camvinga, pale mbele ikiwezekana atoe wote, aingie Joselu na Brahim Diaz, baadae anaweza kumtoa Tchouameni akaingia Arda Güler., hii game inahitaji watu wachezaji wanaoweza kumiliki mpira na kutengeneza nafasi..
watoto wameongeza tena aseee mbona ni hatari
 
Back
Top Bottom