Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,359
Shukran kwa masahihisho, mwenyewe nilisahau kama Mwaka jana tuliwapiga goli 4, hawa jamaa siku tukiwapiga goli 5+ ndio nitaridhika.,Msimu uliopita Karim Benzrma alipiga hat trick dhidi ya Barcelona pia tulivyoshinda 4-0.