Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Game moja ya kibabe sana, humour ndani sio ya kupima, vijana wameimarika sana kiukweli., nimependa spirit yao.,
Bila kumsahau Camavinga, yupo anakiga beki aa kushoto, amebadilisha uchezaji wetu sana.
Acha tusubiri extra time tuone ni team gani itaingia final

VamoooosReal!!
 
Hatimaye Atletico wamekubali kulala, game moja ya kibabe sana.,
Sub ya Camavinga na jamaa zangu wawili Joselu na Brahim imebadili sana mchezo kwa kiasi kikubwa.,
Next tunasubiria kati ya Barcelona ama Osasuna
 
1705256756763.png
 
Vin Jr hadi dakika hii ya 37 kapiga hat-trick....sikumbuki mara ya mwisho miaka ya karibuni hapa kama 30 iliyopita kama kuna mchezaji aliyewahi kufunga hat-trick kwenye el classico zaidi ya huyu leo.

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa, mwenyewe sikumbuki mara ya mwisho mchezaji kufunga hat-trick kwenye el classico ni lini., nimependa speed ya vijana, haswa kwenye transition.,
 
Vin Jr hadi dakika hii ya 37 kapiga hat-trick....sikumbuki mara ya mwisho miaka ya karibuni hapa kama 30 iliyopita kama kuna mchezaji aliyewahi kufunga hat-trick kwenye el classico zaidi ya huyu leo.

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Msimu uliopita Karim Benzrma alipiga hat trick dhidi ya Barcelona pia tulivyoshinda 4-0.
 
Back
Top Bottom