Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hatimaye Atletico wamekubali kulala, game moja ya kibabe sana.,
Sub ya Camavinga na jamaa zangu wawili Joselu na Brahim imebadili sana mchezo kwa kiasi kikubwa.,
Next tunasubiria kati ya Barcelona ama Osasuna
 
1705256756763.png
 
Vin Jr hadi dakika hii ya 37 kapiga hat-trick....sikumbuki mara ya mwisho miaka ya karibuni hapa kama 30 iliyopita kama kuna mchezaji aliyewahi kufunga hat-trick kwenye el classico zaidi ya huyu leo.

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa, mwenyewe sikumbuki mara ya mwisho mchezaji kufunga hat-trick kwenye el classico ni lini., nimependa speed ya vijana, haswa kwenye transition.,
 
Vin Jr hadi dakika hii ya 37 kapiga hat-trick....sikumbuki mara ya mwisho miaka ya karibuni hapa kama 30 iliyopita kama kuna mchezaji aliyewahi kufunga hat-trick kwenye el classico zaidi ya huyu leo.

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Msimu uliopita Karim Benzrma alipiga hat trick dhidi ya Barcelona pia tulivyoshinda 4-0.
 
Ulikuwa uoga wa Ancelloti tu, ila Lunin ni golikipa mzuri sana, alihitaji kuaminiwa tu basi, alitaka kuondoka msimu uliopita akaghairi, sioni akiondoka tena kwasasa.

Tchouameni amesettle sasa, sina wasi wasi nae tena, jana amecheza kwa utulivu sana, sema siku nyingine tunacheza na team aina ya Barcelona sio vibaya Camavinga akaanzia mbavu ya kushoto, huwa anaongeza flow ya mshambulizi pia tunashika dimba vizuri.
 
Back
Top Bottom