Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

hilo suala ungewauliza hao waliosema kuwa ana mchango mkubwa nje ya magoli aliyofunga.
Number zinaongea zaidi kuliko maneno
IMG_20231211_140743.jpg
IMG_20231211_140636.jpg
 
Kijana amekuja kuona na kujua mazingira atakayo-anayafanyia kazi kuanzia msimu mpya Mwakani.
Nimtakie tu kila la heri, nikiamini hatotuangusha.
#Halamadrid
 

Florentino Pérez: “Merry Christmas and may 2024 bring health, peace, work, happiness and solidarity for all of us​

 
Hello Madridistas.,muda mfupi ujao vijana wetu watakuwa uwanjani dhidi ya Mallorca.
Dimba ni Santiago Bernabeu
 
Real Madrid XI: Lunin; Carvajal, Rudiger, Tchouameni, Fran Garcia; Kroos, Valverde; Modric, Bellingham, Vinicius, Rodrygo
 
Tunaingia kipindi sasa, acha tuone kama kuna kutakuwa na mabadiliko kipindi hiki ama ndio mwendo utakuwa huu huu
 
Militao anarudi mdogo mdogo, ndio maana club haina mpango wa kusajili beki wa kati., mpaka Mwezi ujao tunaweza tukapata taarifa njema kutoka kwake.
 
Muda mchache ujao, vijana watakuwa uwanjani dhidi ya Atletico Madrid kwenye nusu fainali ya Super Copa., nchini Saudi Arabia
 
Ndani ya week hizi kadhaa tutakutana na Atletico Madrid mara tu, tukimaliza hii game ya leo tarehe 18/01 tutakutana tena kwenye Copa del rey
 
Back
Top Bottom