ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,295
- 31,694
Score808.comUliangalia kupitia channel gani man? Niliitafuta bila mafanikio,
Barcelona wana team nzuri sana na wana vipaji haswa, ila mdogo mdogo tutawafikia tu, siwezi kuibeza team yetu kwa kuwa ninajua fika kiwango cha wapinzani wetu, juzi tulitoka droo na Chelsea kwenye Champions league, ni hatua nzuri kwa kuwa Chelsea na wao wana team nzuri sana.
Linda na wenzie akina, Olga, Naomi, Caro na wengine, wana viwango vizuri tu, ila wanahitaji uzeofu na wakali wenzao kuwaimarisha.