Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,359
Hapana Mkuu, bado team inajengwa mdogo mdogo, haina hata miaka mitano na imeshaingia makundi club bingwa, ni kwamba Barcelona wana team nzuri sana, kumbuka wametawala hilo soka la Wanawake kwa muda mrefu, kwasababu hapakuwepo na team kubwa ya kuwapa upinzani haswa Spain, so ilikuwa ni rahisi kuwasajili wachezaji wenye vipaji kwa kuwa hawakuwa na sehemu ya kukimbilia, ila kwasasa itakuwa tofauti kwa sababu Real Madrid ipo, na tumeanza mdogo mdogo, tumemchukua Linda ndio kwanza ana miaka 18, Caroline Weir tunae japokuwa ni majeruhi.,Hii timu yetu ya wanawake ifutwe tu...timu haijui thamani yakuvaa jezi yetu.
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Ninaamini team itaendelea kuimarika kadri muda unavyoenda, sio rahisi kuwafikia Barcelona kwa muda mfupi ila kwa kadri team inavyoendelea kuundwa tutawafikia tu.
