Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,359
Chuma cha pili
Hivi Ancelotti ameshinda mechi gani ngumu msimu huu?
Hapa kuna kila haja ya kubadili kocha kama hawezi kubadili hii style tunachezi. Sioni ikitupeleka popote.
Vinni alikuwa na poor perfomance leo ila ametumika kumtoa GAVI kwenye concentration ya game. Barca alijaza defensive midfielders matokeo yake mipango ya goli ikawa imekufa huku valverde na maestro luca wakibaki na dimbaHii kenge vini sijui kwanini bado haijatoka
️
️
️
️
️Naona draw mbili hapo wengine wote itabidi wanisamehe
Acha uhuniHivi Ancelotti ameshinda mechi gani ngumu msimu huu?
Daah, ni pigo sana kwake na kwa team kwa ujumla, alishaanza kukamata lile dimba vizuri, alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri., jana alitandika mkwaju mmoja mqtata sana, sema Ter stegen aliuona, ninadhani hata ile iliwaongezea vijana confidence kuwa hawa jamaa uwezekano wa kuwapiga upo., Augue Pole na arudi dimbani mapema iwezekanavyo.Kuna taarifa tutamkosa tchouameni kwa kipindi cha miezi miwili. Ni zamu ya camavinga kucheza dimba pale.
Kuna muda Vini Jr ana utoto na mambo yasiyo na faida kwake na kwa team kwa ujumla, ninaona Carlo aliamua kuchukua jukumu, sio lazima kila muda ubishane, shida ni kwamba anabishana mpka na mashabiki.Huyu dogo atafutiwe tibaView attachment 2796764
Jude mumfanye awe striker Tu mazima ,mumtoe kwenye mildifield ,dogo anajua kucheka na nyavu sana huyu