Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,754
- 6,490
Mapema tu Don Carlo ametoa mkeka wake., tusubiri hiyo saa 11 tuone itakuwaje
Tupo slow mno. Ikitokea counter unakuta ni mtu mmoja tu pembeni, hata akienda mbele hamna cha maana.Hii game ninaona kama tunacheza kwa uoga sana, ni kama tunategemea counter attack ila sasa hata hayo mazingira ya kupata hiyo counter attack hakuna., labda nitulie niangalie kipindi cha pili vizuri, kwasababu game yenyewe nimeikuta dakika ya 30.
#HalaMadrid