Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

1698498211033.png
 
Hapa kuna kila haja ya kubadili kocha kama hawezi kubadili hii style tunachezi. Sioni ikitupeleka popote.
 
Hii game ninaona kama tunacheza kwa uoga sana, ni kama tunategemea counter attack ila sasa hata hayo mazingira ya kupata hiyo counter attack hakuna., labda nitulie niangalie kipindi cha pili vizuri, kwasababu game yenyewe nimeikuta dakika ya 30.
#HalaMadrid
Tupo slow mno. Ikitokea counter unakuta ni mtu mmoja tu pembeni, hata akienda mbele hamna cha maana.
 
Back
Top Bottom