Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,754
- 6,489
Na Mimi nilidhani angepiga Rodrygo, ila ninadhani bado hatuna mpigaji mzuri wa penalty,Penalt wangempa rodrygo kumerudishia confidence ila si mbaya maana ni kocha ndio anaamua
Na Mimi nilidhani angepiga Rodrygo, ila ninadhani bado hatuna mpigaji mzuri wa penalty,Penalt wangempa rodrygo kumerudishia confidence ila si mbaya maana ni kocha ndio anaamua
Hii system itakuwa nzuri hapo baadae endapo tutaanza kumtumia Arda, shida ni kwamba Bellingham anakiwasha sana, acha tuone itakavyokuwa baadae.Ni system nzuri ila inatunyima buildup kiasi kikubwa
Get well soonNaichukia Madrid.
Jana JUDE alionekana ana devela sana. Jumamosi tupo na barca. Updates za kikosi zipoje. Hopefully tutacheza mfumo wa mipira mirefu tuu
Mind game hakuna lolote, tension ji kubwa sana kipindi hiki, niliona sehemu kuwa , Perez hatohudhuria hiyo game, tusubiri tuone tu yatakayojiri hiyo kesho.Updates el classico kesho.
List ya majeruhi pande zote itaathiri game. Jude anaweza kosekana.
Barca washaanza kuhofia refa kwamba ni wetu cijui no mind game au ni nn