Ila hii formation kama diamond shape Fulani hv kuanzia kati kwenda mbele kama inaanza kuniingia akilini hivi, timu pinzani lazima uchanganyikiwe hujui anafunga nani, mara paaap Jude anakuja kukufunga daaah naona Jude Kama hachezi deep sana kama alivyokuwa BVB..as Bavaria fan nimeielewa hii system ya Carlo hasa kuanzia kati natamani sana muje kuitekeleza vizuri kwetu Bavarians in UCL though najua tutapigwa.