Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ila hii formation kama diamond shape Fulani hv kuanzia kati kwenda mbele kama inaanza kuniingia akilini hivi, timu pinzani lazima uchanganyikiwe hujui anafunga nani, mara paaap Jude anakuja kukufunga daaah naona Jude Kama hachezi deep sana kama alivyokuwa BVB..as Bavaria fan nimeielewa hii system ya Carlo hasa kuanzia kati natamani sana muje kuitekeleza vizuri kwetu Bavarians in UCL though najua tutapigwa.
 
Ila hii formation kama diamond shape Fulani hv kuanzia kati kwenda mbele kama inaanza kuniingia akilini hivi, timu pinzani lazima uchanganyikiwe hujui anafunga nani, mara paaap Jude anakuja kukufunga daaah naona Jude Kama hachezi deep sana kama alivyokuwa BVB..as Bavaria fan nimeielewa hii system ya Carlo hasa kuanzia kati natamani sana muje kuitekeleza vizuri kwetu Bavarians in UCL though najua tutapigwa.

Ni system nzuri ila inatunyima buildup kiasi kikubwa
 
Ni system nzuri ila inatunyima buildup kiasi kikubwa
Hii system itakuwa nzuri hapo baadae endapo tutaanza kumtumia Arda, shida ni kwamba Bellingham anakiwasha sana, acha tuone itakavyokuwa baadae.
Jana team ilicheza vizuri kutokea nyuma, unaweza kuona hata pass aliopiga Tchouameni kwa Vini Jr, ni vile jana alitumika pale kwa dharura tu ila jamaa anauwezo mkubwa wa kukaba.
 
Screenshot_20231010-123341.png
 
Back
Top Bottom