Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hapa naona bado jude hatujampata vizuri yuko chini ya kiwango, akiiva siku si ndio balaaa
Mdogo mdogo team inakaa kwenye mstari, ujio wa Kroos kwenye midfield na Camavinga kama beki wa kushoto umetusaidia sana., uwepo wa hawa watu unatusaidia ku-control dimba vizuri, hii inamsaidia Tchouameni kutimiza majukumu yake vizuri.
Tumebaki na tatizo la kujilinda tu, na huyu Kepa kiukweli simuamini wala nini, nilitamani Lunin aendelee kukaa golini.
 
Mdogo mdogo team inakaa kwenye mstari, ujio wa Kroos kwenye midfield na Camavinga kama beki wa kushoto umetusaidia sana., uwepo wa hawa watu unatusaidia ku-control dimba vizuri, hii inamsaidia Tchouameni kutimiza majukumu yake vizuri.
Tumebaki na tatizo la kujilinda tu, na huyu Kepa kiukweli simuamini wala nini, nilitamani Lunin aendelee kukaa golini.

Yaah toni ndio anamalizia msimu huu tuachane sijui kama camavinga ataiweza iyo nafasi, maana kila akicheza hapo unaona anapwaya sana
 
1696684568460.png
 
Back
Top Bottom