Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ni both naona..kwa maana ya leo timu inabuild-up nzuri ambayo inatoka na Girona wanaacha sana nafasi,ukiangalia namna Girona wanavyojipanga wakiwa hawana mpira utagundua hilo,kuwa utakufa wamesimama zaidi ya mmoja eneo moja wakat huo huo wamemuacha mchezaji wa madrid umbali wakuanzia mita kama tatu na zaidi,hii inapelekea sasa madrid akiwa na mpira anapoenda kushambulia anajitengeneza vyema..

Sasa tukikutana na timu ambayo ipo quick sana katika kuchukua nafasi wakiwa hawana mpira na wepesi kufika miguu kwetu tunapata tabu na ndio tunashindwa kujitengeneza mwishowe tunakuwa butua butua hatueleweki tunatumia mfumo gani.

Na hata tukishambuliwa hatufanyi marking vizuri mwishowe tunafungwa magoli mepesi.

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
 
Sanaaaaaaaa....

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Sasa kwa jinsi ilivyo CD tumebaki na Rudiger tu, na hapo hatujui atapewa adhabu ya game ngapi kwa maana ile ni straight red card., mtu mmeshashinda goli tatu, bado dakika mbili game imalizike, kisha anaenda kufanya ujinga kati kati ya uwanja, kwanza kwa mpira isingekuwa rahisi kuufikia.
 
Kikosi kilichosafiri kwenda jiji la napoli
81a48071-57e3-4d98-8fd6-47e5376aab95.jpg

0d271c82-9fff-4045-8b40-d870938d7325.jpg


Kwa game ya kesho nategemea kuona brahim akianza kutokea wingi ya kulia, tusubiri kuona kocha ataingia na line up gani.

Ila pia kuna big chance ya camavinga kucheza beki 3
 
Back
Top Bottom