Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,360
Sijui ndio mabadiliko ama ndio kupunguza presha kwa wachezaji, Carlo ameamua kutoka hivi leo
Man, utapoteza muda ma huyo jamaa, tuendeleze tu gurudumu la jukwaa letu manHivi mkuu huwa unaangalia mpira au unasoma kwenye gazeti, comments zako huwa zinachekesha sana
Hii sijui ndio inaitwa papatu papatu ama ni aje,
Hala madrid...Kitambo sana sijapita humu halla Madrid
Vijana inaonekana wanacheza ili kupata matokeo kwanza, ila kutumia mfumo, kuna haja Carlo kuangalia tena mfumo anaotumia, tunakuwa wachache sana kule mbele, acha tuwe wavumilivu tu kwanza.
Mwendo ni ule ule magoli yanafungwa huon build-up ya timu kwenda kutafuta goli...na ndio maana tunapata tabu sana tukikutana na timu zenye ukuta mgumu tunapata tabu.
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Sielewi kama ni mentality ya wachezaji ama ni mfumo, wakati tunacheza 4-3-3 tulikuwa na idadi kubwa tu ya vijana kwenye eneo la tatu ya uwanja, ila sasa unakuta mara wawili ama watatu wakati huo tunacheza 4-4-2.Kikosi kipo ila ni mfumo sio rafiki. Ila naona brahim ni mzuri ku receive mpira katikati, kuliko pembeni. Tukicheza na vin na rodrygo mbele tunakua isolated sana mbele.
Usajili wa Joselu ni moja ya sajili ya kishamba sana tuliyoifanya.Sielewi kama ni mentality ya wachezaji ama ni mfumo, wakati tunacheza 4-3-3 tulikuwa na idadi kubwa tu ya vijana kwenye eneo la tatu ya uwanja, ila sasa unakuta mara wawili ama watatu wakati huo tunacheza 4-4-2.
Pia namna ya kujiposition kwenye midfield ni tatizo, kuna muda unaona Camavinga na Tchouameni wapo sawa kule chini, ama Valverde yupo juu winga ya kulia mwenyewe, sasa hiyo build up wataifanya vipi kama tu kujipanga uwanjani ni tatizo.
Ni afadhali Carlo akaamua tu sasa kurudi kwenye mfumo uliozoeleka., kuliko huu anaotumia sasa.
Tofuati na nilivyokuwa ninadhania, leo tunacheza vizuri kuliko game zilizopitaTunawafanyia "Justice" Girona hapa...tushawapiga mbili..
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app