Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,360
FT: Real Madrid 1-0 Union Berlin
Mfumo bado vijana hawajauelewa kiukweli., hebu angalia Rodrygo anatakiwa kusimama na Joselu pale mbele, ila muda wote anatokea pembeni.Ila hii timu coaching Bado kidogo aisee, kocha na mbinu zake zinatupa wakati mgumu
Raul na Xabi Alonso wapo wanapasha., jamaa akiweka mguu nje vijana wanatimba, hao ndio wataweza kwenda sawa na hao vijana ., Ancelloti ana shida ya kuwa na matumaini yake sehemu moja, sio mpenzi wa kubadilika.
Vinicius hayupo kwenye kikosi, ana shida ya tumbo, so atakuwepp kwenye game zitakazofuataLeo tuko uwanjani na majirani sijajua line up ya mwalimu ila game ya leo tunaitaji winga machachari, ijapokua leo vin amerudi ila sidhani kama atakua na ule utimamu


Leo najiliaa jirani kwa kosi la leo hatoki. First half kama nampiga 1 au mbili

hii wahuni imeishaaMimi naenda kulala hii kitu siwezi kuendelea kuvumiliaHivi tatizo ni ubora wa mchezaji mmoja mmoja wa hizi beki zetu au ndio muendelezo wa ubovu wa kocha wetu hana mbinu za kisasa?
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Hivi tatizo ni ubora wa mchezaji mmoja mmoja wa hizi beki zetu au ndio muendelezo wa ubovu wa kocha wetu hana mbinu za kisasa?
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Eee mzee..yaan timu haina uwezo wakukaa na mpira kabisa yaan,timu hata haijulikana tunacheza kwa mfumo gan...timu inategemea counter attack nakubahatisha kila game aisee...Shida sio wachezaji shida ni kochi. Kocha anakjla mchezaji sisi hao kila game we concede, kwa mpira wa sahivi lazima timu ipende kukaa na mpira.
We kila timu tu struggle kudadeki