pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,728
Kabisa...huyu kipa wao ndo atakuwa man of the match leo..
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Kabisa jude mtu na nusu anaweza sana kukaa kwenye postion sema vijamaa vilikaza sanaHela yetu omerudi au tusubiri kwenye UCL?????
Endelea kumjudge vibaya dogo.leo Tena katupa point 3 safi.💪💪huyo dogo baada kufanga goli mbili tatu wadau wameanza kumwaga radhi wakihisi wameshapa mtu mpya wa kuibeba timu. huku vyombo vya habari vikiengereza kimeshaanza kuchochea wakimnadi kuwa anaibeba timu, Wakati jamaa uwanjani anapotea kabisa wakati anacheza very key position, team imekuwa iki stragle mno kwenye creating huku yeye akicheza hiyo position kuu ya kufanya creating.
dogo ni overrated english player ambaye ni very average player, mbeleni ndio tutakuja kujua kuwa badala ya kutafuta proper replacement ya Benzema na Modric tumevamia mkenge.
Alafu jamaa Kila cku kumponda🤣🤣🤣Ni yule yule., Bellingham ametupa furaha tenaaa
VamooooosReal
Na bdo utatuchukia sana mwaka huu mtani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mmepigwaaaaaaaaaaaa Kenge nyie nawachukia sana.
Kijana anaendelea kuimarika siku hadi siku, sema ile kwenda kuufuata ule mpira hata Vazquez hajapiga., nimemvulia Kofia, anaonekana ana jicho zuri kwenye goli., acha tufaidike nae kwasasa wakati team bado inajitafuta.Endelea kumjudge vibaya dogo.leo Tena katupa point 3 safi.💪💪
Mm Sina mashaka na chama langu koz pale kati pametulia saivi napia Kila akiondoka mfungaji Bora anakuja mwingine.hope Jude is that GEMHii game nimeiangalia kwa mashaka mashaka sana, kuna kila sababu kesho niirudie, niiangalie kwa kutulia, ushindi wa usiku ni mzuri sana
Hilo tatizo niliwahi kulielezea hapa, kuna haja ya kuwa na kiongozi pale mbele, sema hili tutaendelea nalo mpaka tupate Mwalimu mwingine, ama Ancelloti abadilishe falsafa zake huko mbeleni.Rodrygo kawa mbinafisi sana Kuna mda Jana sehemu ya kutoa pasi yey kangania mpira anataka awarambe chenga uwanja mzima Hadi wakawa wanamchapa kiatu mda mwingi Toni bado ni genius
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Endelea kumjudge vibaya dogo.leo Tena katupa point 3 safi.💪💪
KAMA KAWAIDA YAKE KWA GOLI AMBALO ALIKUWA NA NYAVU BAADA YA KIPA KUTEMA.
Goli ilo ilo toni alikosa baada ya kugonga mwamba.. je unazingumziaje ilo swala mkuu