Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,360
Kila mtu ana silaha yake, hana uwezo wa kudrible kama Vinicius, so kufunga inaweza kuwa silaha yake muhimu, hakuna mtu atakumbuka chenga ulizopiga ila ushindi uliopatikana.,Jamaa hayo magoli yana muokoa sana, Ila performance ni ovyo mno.
Bado ni kijana mdogo ana nafasi ya kujifunza na kujirekebisha,tumpe muda ndio kwanza ana miezi miwili ndani ya team.
