Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Jamaa hayo magoli yana muokoa sana, Ila performance ni ovyo mno.
Kila mtu ana silaha yake, hana uwezo wa kudrible kama Vinicius, so kufunga inaweza kuwa silaha yake muhimu, hakuna mtu atakumbuka chenga ulizopiga ila ushindi uliopatikana.,
Bado ni kijana mdogo ana nafasi ya kujifunza na kujirekebisha,tumpe muda ndio kwanza ana miezi miwili ndani ya team.
 
Kila mtu ana silaha yake, hana uwezo wa kudrible kama Vinicius, so kufunga inaweza kuwa silaha yake muhimu, hakuna mtu atakumbuka chenga ulizopiga ila ushindi uliopatikana.,
Bado ni kijana mdogo ana nafasi ya kujifunza na kujirekebisha,tumpe muda ndio kwanza ana miezi miwili ndani ya team.

Mkuu kumbuka huyu ni midfield na sio striker, its okay kwa striker kucheza vibaya as long as anafunga mabao mana hiyo ndio kazi yake kuu. Midfield unatakiwa kwanza ukamilishe majukumu yako ya ki midfield kwanza, kufunga ni suala la bonus tu.
 
Kwani Mkuu unataka kusemaje.,

huyo dogo baada kufanga goli mbili tatu wadau wameanza kumwaga radhi wakihisi wameshapa mtu mpya wa kuibeba timu. huku vyombo vya habari vikiengereza kimeshaanza kuchochea wakimnadi kuwa anaibeba timu, Wakati jamaa uwanjani anapotea kabisa wakati anacheza very key position, team imekuwa iki stragle mno kwenye creating huku yeye akicheza hiyo position kuu ya kufanya creating.
dogo ni overrated english player ambaye ni very average player, mbeleni ndio tutakuja kujua kuwa badala ya kutafuta proper replacement ya Benzema na Modric tumevamia mkenge.
 
1693501984827.png
 
huyo dogo baada kufanga goli mbili tatu wadau wameanza kumwaga radhi wakihisi wameshapa mtu mpya wa kuibeba timu. huku vyombo vya habari vikiengereza kimeshaanza kuchochea wakimnadi kuwa anaibeba timu, Wakati jamaa uwanjani anapotea kabisa wakati anacheza very key position, team imekuwa iki stragle mno kwenye creating huku yeye akicheza hiyo position kuu ya kufanya creating.
dogo ni overrated english player ambaye ni very average player, mbeleni ndio tutakuja kujua kuwa badala ya kutafuta proper replacement ya Benzema na Modric tumevamia mkenge.
You are wrong
 
Leo tuko uwanjani, tumerudi kucheza home ground na ni game ya mwisho kabla ya international break.

Hii game leo ni ushindi wala hatuna cha kuhofia. Leo nategemea joseluu ataanza kama namba 9. Nyuma yake atacheza rodrygo na jude kama free player. Mpira utakua wa moto
 
Leo tuko uwanjani, tumerudi kucheza home ground na ni game ya mwisho kabla ya international break.

Hii game leo ni ushindi wala hatuna cha kuhofia. Leo nategemea joseluu ataanza kama namba 9. Nyuma yake atacheza rodrygo na jude kama free player. Mpira utakua wa moto
Mapema leo kabisa, 17:15 hrs saa za Afrika Mashariki.,
 
Leo tuko uwanjani, tumerudi kucheza home ground na ni game ya mwisho kabla ya international break.

Hii game leo ni ushindi wala hatuna cha kuhofia. Leo nategemea joseluu ataanza kama namba 9. Nyuma yake atacheza rodrygo na jude kama free player. Mpira utakua wa moto

Kosi limetoka na mbele amesimama joseluu nyuma yao jude na rodygo. Kocha kamuongeza na modric ili kuongeza possession kwenye eneo la mpinzani.

It opening game kwetu.

Hala Madrid
 
Back
Top Bottom