Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Bado team haijachanganya ila kuna vitu ninaviona vizuri, upande wa kulia kuna maelewano mazuri kati ya Carvajal na Rodrygo, kati kati Toni anacheza vizuri sana na Tchouameni, Valverde ndio bado hajasomeka, huyu Fran ni mzuri sana kwenye kushambulia na ana speed nzuri tu, anaingia ndani ninadhani anajaribu kumtengenezea Vinicius nafasi kwenye wing, shida bado hawajaelewana kwenye mikimbio yao
Vin akili yake ikimature tu kwa 50% uwanjan...yaan afocus kwenye kufanya movement zenye akili nakufocus kwenye goli hii jezi namba 7 ataitendea haki..

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
 
Vin akili yake ikimature tu kwa 50% uwanjan...yaan afocus kwenye kufanya movement zenye akili nakufocus kwenye goli hii jezi namba 7 ataitendea haki..

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa man, ila ndio vile kuna muda anapata moto., Ninatamani sana awe anatulia uwanjani, ana kipaji kikubwa sana.
 
1692988581309.png
 
Aisee tumeshinda ila bado don ana kazi kubwa ya kufanya. Kipindi cha kwanza tulikosa utulivu. Sielewi akiingi modric kidogo ata tunaweza piga pasi kwenye zone ya adui kutengeneza build up.

Tchouameni hii msimu atazidi tushangaa. Kikubwa tumeweka point tatu tukutane Saturday our first home game.

Hala madrid
 
Duhhh vp Game lkn wanatupeleka au maana celta Vigo nao siyo poa wakiwa kwao hasa yule IAGO ASPAS sijui kama kaanza maana nipo mbali sicheki hata Ball
Iago alikuwepo man, vijana wanacheza vizuri na wanajitahidi sana., Celta hawakuwa tishio kivile kama tulivyowazoea, sijui ni kiwango kimepungua ama na sie tumeimarika.
 
Back
Top Bottom