Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Endrick sio wakuingia direct kwenye kikosi hata angekuja leo.bdo sana kwa pressure ya bernabeu.we need cf mwenye uhakika wa 20+ goals per season kuziba pengo la benzema.mbappe ndio huyo anatufanya km kete ya mwisho kwenye draft.

Ndio maana plan ilikua benzema amalize next season ili mbappe na endrick waje wacheze mbele, maana wote wana efficiency nzuri. Ili kukabiriana na ilo ndio maana amekuja joseleu kwa mkopo wa mwaka mmoja.

Hatuwezi nunua stricker wa 100 kwa sasa ni kupoteza nguvu na pesa
 
Nimeona internet imelipuka kwa huu usajili wa kijana Arda kila sehemu anatajwa. Kwa nilimfuatilia je tutegdmee makubwa kutoka kwake?
 
Hello madridistas alfajiri ya kesho jumapili kuamka jumatatu team itakua uwanjani kwenye mchezo wake wa kirafiki. Ni shaukj na hamu kubwa kuona line up namna ya uchezaji

Unamaanisha alfajiri ya kuamkia jumatatu nasio kesho jumapili
 
Hii game ilichezwa?

Ya ilichezwa. Summary

Kipindi cha kwanza tulicheza vibaya hatukua vizuri kwenye defence, na build up beki za pembeni zilijotajihidi kupiga cross zisizoleta impact. Camavinga alipocheza ndio atacheza siku zote. Jude ni ball career mzuri sana. Akicheza nje ya box la mpinzani inazidi kubamba. Kucheza mbele na joselu ambaye ni finisher na brahim hatukupata ufanisi. Hii combo itakua sub au mfumo mwingine au copa de rey

HT Acmilan 2- 0 Real Madrid

Kipindi cha pili change ilifanyia kwa timu yote kasoro jude na valverde. Tukacheza na ile ile 442 ambayo inakua diamond jude anacheza juu kabisa. Timu ilikua inautulivu mbele Maana rodrygo ni mzuri akiwa na mpira, vin alikua na vitu vingi kama kawaida kucheza na jukwaa.

Magoli mawili ya kwanza imetokana na uzembe wa ac milan baada ya kulose position/ poor passing position ikabaki kazi ya valverde kusukuma mpira kambani. Goli la tatu good pass ya modric ikatua moja kwa moja kwa vin good run with speed. Boom tukatia chuma ya 3 na ushindi.

FT acmilan 2- 3 Real Madrid

Nilichokiona. Huu msimu tutashuhudia tchouameni anacheza mechi nyingi hasa nafasi ya defence. Amecheza vizuri good passer na kukaba.

My option midfielder this season itakua valverde,camavinga,tchouameni,jude. Mbele atasimama rodrygo na vin.

Heko madridistas
 
Vijana wetu wamependeza sana
realmadrid-20230724-0002.jpg
realmadrid-20230724-0001.jpg
 
Back
Top Bottom