Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,078
Endrick sio wakuingia direct kwenye kikosi hata angekuja leo.bdo sana kwa pressure ya bernabeu.we need cf mwenye uhakika wa 20+ goals per season kuziba pengo la benzema.mbappe ndio huyo anatufanya km kete ya mwisho kwenye draft.
Ndio maana plan ilikua benzema amalize next season ili mbappe na endrick waje wacheze mbele, maana wote wana efficiency nzuri. Ili kukabiriana na ilo ndio maana amekuja joseleu kwa mkopo wa mwaka mmoja.
Hatuwezi nunua stricker wa 100 kwa sasa ni kupoteza nguvu na pesa
it's been quiet here for a moment!