Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,078
Leo sijaangalia game itabidi nipate muda nirudi kuitazama. Ila hope waliona wanaona jinsi gem zetu za vijana zinazidi kubamba
Huyu Bell ni mtu...ana utulivu sana wa akili na maamuzi ya busara uwanjan..Leo sijaangalia game itabidi nipate muda nirudi kuitazama. Ila hope waliona wanaona jinsi gem zetu za vijana zinazidi kubamba
Tuko na barca leo
Mtani katupiga nyingi sana,utasema kuna kombe tunagombea..Heko,
Game ilikua nzuri hasa kipindi cha kwanza. Kipindi cha pili barca walikua kuja na plan ya kukaa na mpira na kucheza pasi za taratibu, waliweza control temper ya mchezo japo madrid tulijipapatu papatu.
Umakini mbovu wa vin umetunyima nafasi za goli, japokua alikosa penalty. Golikipa wa barca kajitahidi mara nyingine kuonesha ubora.
Leo ilianza promising midfielder Sijajua valverde alipwaya alikua nje ya position kabisa.
Tchouameni ni undisputed, msimu huu atacheza game nyingi sana. Kwa mara nyingi kaonesha class.
Best player kwangu leo kwa pitch, tchouameni plus rodrygo. Huyu kid ni mzuri mzuri mzuri ni basi game ilikua haiko side yetu.
Fulltime
Barca 3 - madrid 0
Cheers madridistas.



Mtani katupiga nyingi sana,utasema kuna kombe tunagombea..
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app

Hatunaga urafiki na nyie tukiwa uwanjani. Hata ikiwa mechi ya hisani, kwetu sisi hiyo ni vita. Na hiyo ndio sababu pekee ya Madrid kuihofia Barca. Team zote duniani zinawaogopa, ila sio sisi!Mtani katupiga nyingi sana,utasema kuna kombe tunagombea..
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Tuna wachezaji wazuri ila hatuna timu nzuri,hadi sasa hivi sijaona timu ya ushindani katika mashindano yanayokuja..ni either mbinu za kocha zimepitwa na wakati au uwezo wake wa ubunifu kulingana na wakat umekwisha,ni kama bado tunacheza style ya msimu uliopita kuwa Vin ndio anakuwa mtu wakuamua tushinde au tusishinde,hii mbinu ishashtukiwa na hatutatoboa,Lazima tuwe na utatu katika timu ambapo so far haupo.
Na huku kwenye beki timu inafungwa magoli yanayofanana,yaan yale yanayotokana na "V movement",beki zinapanda zinajisahau.
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Rudi Chelsea yako inafanya vizuri.Sijacheki Game hata moja ya chama langu maana tunapigwa sana vp mpira unachezeka au ndyo unga unga tu
Halla Madrid
Sijacheki Game hata moja ya chama langu maana tunapigwa sana vp mpira unachezeka au ndyo unga unga tu
Halla Madrid
Tuna wachezaji wazuri ila hatuna timu nzuri,hadi sasa hivi sijaona timu ya ushindani katika mashindano yanayokuja..ni either mbinu za kocha zimepitwa na wakati au uwezo wake wa ubunifu kulingana na wakat umekwisha,ni kama bado tunacheza style ya msimu uliopita kuwa Vin ndio anakuwa mtu wakuamua tushinde au tusishinde,hii mbinu ishashtukiwa na hatutatoboa,Lazima tuwe na utatu katika timu ambapo so far haupo.
Na huku kwenye beki timu inafungwa magoli yanayofanana,yaan yale yanayotokana na "V movement",beki zinapanda zinajisahau.
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
For sure, tunapaswa kuwa na emergence solution for number 9 in case mbappe will not join this summer, there are lots of very good strikers in the world kwa pesa tunayoweza ku afford, what is Perez waiting for? Let us wait until the end of this summer tuone.Perez amefanya kosa kubwa sana kushindwa kuleta replacement ya Benzema.