Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,078
May be lakini naona zidane hayuko teyari kurudi kwenye ukufunzi. Option ni ex Bayern Munich kocha.
Ngoja tusubiri.
Nimeangalia game zake kadhaa huwa anashuka chini sana pia..Joselu ni natural 9. Sijui tutawezaje kucheza na natural nine maana madrid tumezoea kuwa na false nine ambaye anasaidia upande wa kiungo na wakati mwingine anasaidia kwenye defence.
Harry kane was the best choice
Tumpe maua yake full back 3 ametuletea kijana mzuri. Wasi wasi wangu kwenye foward ndo bado anachoma kibandaPerez haonekanwi kuwa yupo serious kwenye usajili, baadae hapa mzigo wote atakuja kuangushiwa Carlo wakati timu ina matatizo mengi sana.
Tumpe maua yake full back 3 ametuletea kijana mzuri. Wasi wasi wangu kwenye foward ndo bado anachoma kibanda
Nibora tuvumilie hadi mwakani aje bure....Mbape amekewa market value ya 250M£ aseee hata kama ni mimi papa perez napiga kona dogooo tunamuhitaji ila sio kwa value kubwa hiyo meanwhile Halland alipatikana kwa bei pungufu sana ya hiyo na anakiwasha tuuy
Ataongeza mkataba mwingine tena. PeriodNibora tuvumilie hadi mwakani aje bure....
Osihmen yupo tena 140.....tukamchukua na Mahrez mbele kutakua na uhai kuliko kuspend hela yote hiyo kwa mtu mojaAtaongeza mkataba mwingine tena. Period
www.forbes.com
Duh...mbona hela kubwa sana.PSG And Real Madrid Reach €300 Million Kylian Mbappe Agreement To Smash World Transfer Record: Reports
View attachment 2666181![]()
PSG And Real Madrid Reach €300 Million Kylian Mbappe Agreement
Paris Saint-Germain and Real Madrid have reportedly agreed a deal worth an eventual €250 million for Kylian Mbappe which would shatter the world transfer record.www.forbes.com
Huyu mzee(perez) cjui anawaza nn,,,hela nyingi sana na hapo bdo CB na kiungo koz modric na kroos washazeeka,,,ceballos naye hayuko consistent
Mbape amekewa market value ya 250M£ aseee hata kama ni mimi papa perez napiga kona dogooo tunamuhitaji ila sio kwa value kubwa hiyo meanwhile Halland alipatikana kwa bei pungufu sana ya hiyo na anakiwasha tuuy
Nibora tuvumilie hadi mwakani aje bure....
PSG And Real Madrid Reach €300 Million Kylian Mbappe Agreement To Smash World Transfer Record: Reports
View attachment 2666181![]()
PSG And Real Madrid Reach €300 Million Kylian Mbappe Agreement
Paris Saint-Germain and Real Madrid have reportedly agreed a deal worth an eventual €250 million for Kylian Mbappe which would shatter the world transfer record.www.forbes.com
Kiungo wa nini wakati wapo wa kutosha?Huyu mzee(perez) cjui anawaza nn,,,hela nyingi sana na hapo bdo CB na kiungo koz modric na kroos washazeeka,,,ceballos naye hayuko consistent