Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Naona tunaenda kuongeza mchezaji mmoja, yule kinda mwenye asili ya kituruki. Aisee hii timu kama ukienda kwa project tunaitaji tuu coaching kufika tunapopataka.

Msimu ujao naona kabisa rodrygo ndio atasimama kama sticker wetu. Next summer tutaongeza beki ya kulia na beki ya kushoto
 
Naona tunaenda kuongeza mchezaji mmoja, yule kinda mwenye asili ya kituruki. Aisee hii timu kama ukienda kwa project tunaitaji tuu coaching kufika tunapopataka.

Msimu ujao naona kabisa rodrygo ndio atasimama kama sticker wetu. Next summer tutaongeza beki ya kulia na beki ya kushoto
Beki wakushoto tiyari tumesajili Garcia
 
Naona tunaenda kuongeza mchezaji mmoja, yule kinda mwenye asili ya kituruki. Aisee hii timu kama ukienda kwa project tunaitaji tuu coaching kufika tunapopataka.

Msimu ujao naona kabisa rodrygo ndio atasimama kama sticker wetu. Next summer tutaongeza beki ya kulia na beki ya kushoto
Yule kinda ana kipaji sana.

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
 
Vin naye amepotea njia au?
Vini alikuja akiwa tayari kuanza kwenye kikosi chenu. Huyu dogo sio starter, ni youngster anaeihitaji kulelewa taratibu.

Ndio maana Barca tulipomfuata, tuliweka wazi kabisa ni kwaajili ya future project. Naona amefanya papara, anadhani anaweza kupata nafasi hapo bernabeu. I doubt it!
 
Vini alikuja akiwa tayari kuanza kwenye kikosi chenu. Huyu dogo sio starter, ni youngster anaeihitaji kulelewa taratibu.

Ndio maana Barca tulipomfuata, tuliweka wazi kabisa ni kwaajili ya future project. Naona amefanya papara, anadhani anaweza kupata nafasi hapo bernabeu. I doubt it!
Mmeshindwa kulipa, mnataka kulipa kwa mafungu kama vikoba. Hakuna timu inafanya hizo biashara
 

Vini alikuja akiwa tayari kuanza kwenye kikosi chenu. Huyu dogo sio starter, ni youngster anaeihitaji kulelewa taratibu.

Ndio maana Barca tulipomfuata, tuliweka wazi kabisa ni kwaajili ya future project. Naona amefanya papara, anadhani anaweza kupata nafasi hapo bernabeu. I doubt it!
Ishu sio kupata namba,,huyo atapelekwa kwa mkopo km ilivyokua kwa Diaz,vaverde,Reiner,kubo.akiperfom vizuri atarudi kwenye kikosi au kuuzwa kupata faida km kwa odergaard
 
Saga la mbappe limeamka tena. Sisi madrid offer yetu mwisho itakua 180 tofauti na hapo wauze kwingine. Tusubiri this two weeks alizopewa kama ata renew au atauzwa
Huyu Bora tungeaachana nae koz analinga km mtoto wakike.pale tungepata cf km osihmen ingesaidia..anatupa matumaini then unaskia kamwaga wino Tena...
 
Huyu Bora tungeaachana nae koz analinga km mtoto wakike.pale tungepata cf km osihmen ingesaidia..anatupa matumaini then unaskia kamwaga wino Tena...

Huwezi kumkata star player kama mbappe iyo haipo mkuu. Hatuwezi leta mchezaji huyo wa napoli ikiwa tuna endrick anakuja next summer na ataitaji muda wa kucheza zaidi.

Timu inavyojengwa sasa inazidi kuvutia zaidi
 
Huwezi kumkata star player kama mbappe iyo haipo mkuu. Hatuwezi leta mchezaji huyo wa napoli ikiwa tuna endrick anakuja next summer na ataitaji muda wa kucheza zaidi.

Timu inavyojengwa sasa inazidi kuvutia zaidi
Endrick sio wakuingia direct kwenye kikosi hata angekuja leo.bdo sana kwa pressure ya bernabeu.we need cf mwenye uhakika wa 20+ goals per season kuziba pengo la benzema.mbappe ndio huyo anatufanya km kete ya mwisho kwenye draft.
 
Back
Top Bottom