Unategemea hawo wazee,,,ceballos na tchuomen hawana consistent na pia Jude sidhan km ataperfoem vizuri koz ya pricetag yake.pressurw nikubwa tofauti na dortmond.Kiungo wa nini wakati wapo wa kutosha?
Unategemea hawo wazee,,,ceballos na tchuomen hawana consistent na pia Jude sidhan km ataperfoem vizuri koz ya pricetag yake.pressurw nikubwa tofauti na dortmond.Kiungo wa nini wakati wapo wa kutosha?
Nimekuwa offline for couple of days sijui nini kinaendelea viuga vya real madrid hasa usajili na pre season
Beki wakushoto tiyari tumesajili GarciaNaona tunaenda kuongeza mchezaji mmoja, yule kinda mwenye asili ya kituruki. Aisee hii timu kama ukienda kwa project tunaitaji tuu coaching kufika tunapopataka.
Msimu ujao naona kabisa rodrygo ndio atasimama kama sticker wetu. Next summer tutaongeza beki ya kulia na beki ya kushoto
Yule kinda ana kipaji sana.Naona tunaenda kuongeza mchezaji mmoja, yule kinda mwenye asili ya kituruki. Aisee hii timu kama ukienda kwa project tunaitaji tuu coaching kufika tunapopataka.
Msimu ujao naona kabisa rodrygo ndio atasimama kama sticker wetu. Next summer tutaongeza beki ya kulia na beki ya kushoto
Beki wakushoto tiyari tumesajili Garcia
Kinda yeyote anaekubali kusajiliwa na Madrid, naona kama hathamini kipaji chake. Madrid ni team inayotaka wachezaji ready made, sio vipaji vya kulelewa na kukulia hapo.Adar Guler ndaniiiii umafia umefanyika hukooo barca tumewapokonya tonge mdomoni
Kinda yeyote anaekubali kusajiliwa na Madrid, naona kama hathamini kipaji chake. Madrid ni team inayotaka wachezaji ready made, sio vipaji vya kulelewa na kukulia hapo.
Huyu kapotea njia!
Vini alikuja akiwa tayari kuanza kwenye kikosi chenu. Huyu dogo sio starter, ni youngster anaeihitaji kulelewa taratibu.Vin naye amepotea njia au?
Mmeshindwa kulipa, mnataka kulipa kwa mafungu kama vikoba. Hakuna timu inafanya hizo biasharaVini alikuja akiwa tayari kuanza kwenye kikosi chenu. Huyu dogo sio starter, ni youngster anaeihitaji kulelewa taratibu.
Ndio maana Barca tulipomfuata, tuliweka wazi kabisa ni kwaajili ya future project. Naona amefanya papara, anadhani anaweza kupata nafasi hapo bernabeu. I doubt it!
Vin, rodr, Kamavinga?Kinda yeyote anaekubali kusajiliwa na Madrid, naona kama hathamini kipaji chake. Madrid ni team inayotaka wachezaji ready made, sio vipaji vya kulelewa na kukulia hapo.
Huyu kapotea njia!
Ishu sio kupata namba,,huyo atapelekwa kwa mkopo km ilivyokua kwa Diaz,vaverde,Reiner,kubo.akiperfom vizuri atarudi kwenye kikosi au kuuzwa kupata faida km kwa odergaardVini alikuja akiwa tayari kuanza kwenye kikosi chenu. Huyu dogo sio starter, ni youngster anaeihitaji kulelewa taratibu.
Ndio maana Barca tulipomfuata, tuliweka wazi kabisa ni kwaajili ya future project. Naona amefanya papara, anadhani anaweza kupata nafasi hapo bernabeu. I doubt it!
Huyu Bora tungeaachana nae koz analinga km mtoto wakike.pale tungepata cf km osihmen ingesaidia..anatupa matumaini then unaskia kamwaga wino Tena...Saga la mbappe limeamka tena. Sisi madrid offer yetu mwisho itakua 180 tofauti na hapo wauze kwingine. Tusubiri this two weeks alizopewa kama ata renew au atauzwa
Huyu Bora tungeaachana nae koz analinga km mtoto wakike.pale tungepata cf km osihmen ingesaidia..anatupa matumaini then unaskia kamwaga wino Tena...
Endrick sio wakuingia direct kwenye kikosi hata angekuja leo.bdo sana kwa pressure ya bernabeu.we need cf mwenye uhakika wa 20+ goals per season kuziba pengo la benzema.mbappe ndio huyo anatufanya km kete ya mwisho kwenye draft.Huwezi kumkata star player kama mbappe iyo haipo mkuu. Hatuwezi leta mchezaji huyo wa napoli ikiwa tuna endrick anakuja next summer na ataitaji muda wa kucheza zaidi.
Timu inavyojengwa sasa inazidi kuvutia zaidi