Tchou mbona alicheza dakika 120 kwenye ile mechi final.
Camavinga anahitajika ku adopt box to box position ili achukuwe mikoba ya Kroos Pale Real, halafu watafute good replacement ya Modric ili aje acheze na Vinga na Tchou pamoja. Ila Jude sio chagua sahihi, mana attcking ability yake bado sio standard ya timu kama Real Madrid, na kwa position za chini hawezi kuwaingia hao madogo wa kifaransa. Wanahitaji mtu kama Bernando Silva ama Bruno Fernandez pale ambao naamini gharama yao itakuwa ndogo zaidi na uwezo wao ni mkubwa zaidi.