Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,516
- 5,418
2nd leg tucheze kwanidhamu kubwa sana. Tukiwavuta hadi extra tym kazi tumemaliza
Dogo yuko vizuri ina ana makosa mengi pass zake za hovyo zimesababisha kachoma.Kinachonifanya nimkubali camavinga ni kwamba baada ya kufanya ball clearance bado anuwezo wa kucontrol mpira mguuni hata baada ya kumpora adui
Uwe unaangalia mpira mzee baada ya kutoka Madrid walimiliki mpira wakanyanganywa then goli likatokea ....
Uwe unaangalia mpira mzee baada ya kutoka Madrid walimiliki mpira wakanyanganywa then goli likatokea ....
Mnaingia na matokeo yenu uwanjani nin ?
Uwe unaangalia mpira mzee baada ya kutoka Madrid walimiliki mpira wakanyanganywa then goli likatokea ....
Mnaingia na matokeo yenu uwanjani nin ?
Wewe ni fala Madrid ndio walichukua huo mpira ...Nijibu Hili, mpira ukitoka sideline unarudi ndani kwa njia gani? Jibu Hilo tu.
Wewe ni fala Madrid ndio walichukua huo mpira ...
Wewe ni mpumbavu mpira kama hukuangalia unataka nije nikueleze , kangalie tukio ..Jibu swali acha ngonjera, mpira ukitoka sideline unarudi ndani kwa njia gani?
Wewe ni mpumbavu mpira kama hukuangalia unataka nije nikueleze , kangalie tukio .
Wewe ni mpumbavu mpira kama hukuangalia unataka nije nikueleze , kangalie tukio ..
au kanaangalia livescore kwa simu ya alfu sabini
Nilishaongeaga humu way back, hizi timu za EPL including their fans ni malimbukeni mno wa UEFA! hawa City na wenzao Chelsea plus Liverpool ikifikaga hatua za ku-qualify next round wanakuwaga na kelele sana na upumbavu mwingi mno. Jioneeni wenyewe sasa!Wewe ni mpumbavu mpira kama hukuangalia unataka nije nikueleze , kangalie tukio ..
Ndio shida yenu mashabiki wa EPL, hamnaga ustaarabu kabisa!Wewe ni fala Madrid ndio walichukua huo mpira ...
Ndio shida yenu mashabiki wa EPL, hamnaga ustaarabu kabisa!
Hebu jaribu ku-challenge hoja uwawakilishe wenzio, na sio ku-insultWewe ni mpumbavu mpira kama hukuangalia unataka nije nikueleze , kangalie tukio ..
Alikuwepo mshamba mwenzio wa kuitwa OllaChuga Oc huyu kwa ushamba alionao bado humfikii!Wewe ni fala Madrid ndio walichukua huo mpira ...
Watu kama Hao siwezi poteza muda kubishana nao ....Hebu jaribu ku-challenge hoja uwawakilishe wenzio, na sio ku-insult
,...Madrid wamecheza huo mpira pass after pass wakanyanganywa ,ndio city akamiliki mpira na kufunga ....which is another phase ..........