Barcelona wanataka kumchukua huyu jamaa atatusumbua sana kwenye el classico. Sisi tunakomaa kujaza nafasi zilizojaa, yani ukuta ni shida mpaka Kamavinga kawa beki.View attachment 2615709
Tukishinda ni bahati
Tukdroo ni bahati sana
Tukipigwa ni halali
Tunajitoa fahamu tu ila mziki wa Pep tunaujua vizuri dakika 20 za mwanzo tukizuia basi tutakua nafasi nzuri
Tuko pamoja mkuu wewe unaelewa vizuri nashangaa tu wanaojipa matumaini ya 100% hao ndo wanaingia na matokeo baadq ya kupigwa waanze matusi na kulaumu bekiNi game ngumu sisi tunaingia tukiwa kama weak team. Tutaenda kupambana hadi mwisho.
UtabakwaLeo mnaliwa nyuma![]()
Kumbuka huyu ni defensive mid na yupo jna 27 yrs kwa sasa. Tunao defensive mid wengi pale kwetu acha wamsajili tuuBarcelona wanataka kumchukua huyu jamaa atatusumbua sana kwenye el classico. Sisi tunakomaa kujaza nafasi zilizojaa, yani ukuta ni shida mpaka Kamavinga kawa beki.View attachment 2615709
Militao ayupoSioni red kwa city itakua unaota hakuna beki wanakaba kistaarabu kama wale marasta Ake na Akanji labda enzi za fabinho ila kwa upande wa drid red zipo kuna Njano camavinga,miltao,vini awawezi kosa kadi
Nimeiweka hapo juu.Natanguliza shukrani za dhati![]()
Halla Madrid 💪Hala Madrid