Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,363
Ninatumaini tutapata ushindi dhidi ya Betis leo., #HalaMadrid
Ninatumaini tutapata ushindi dhidi ya Betis leo., #HalaMadrid
Vini Jr ni mchezaji mzuri tu, ana uwezo mkubwa pia., sio kwasababu wachambuzi wanampamba ama laa, ila kwa uwezo alionao., ila kwenye uwezo huo huo huyu kijana ana mapungufu yake, na kwa umri wake yanarekebishika, anahitaji Mwalimu tu wa kumwambia Ukweli., kama Raúl ama Zidane, shida yake kubwa kwa huyu kijana imekuwa ni nidhamu tu.,
Pia jambo jingine analohitaji kurekebisha ni mipira ya mwisho., bado anakiwewe ya nini afanye na mpira wa mwisho., ni vitu vidogo vidogo tu atakuwa Sawa.
Kwa upande wa Rodrygo ni kweli yupo vizuri akitokea kushoto., ila yule acha Mwalimu amtumie anavyoona, kwasababu ana uwezo wa kucheza namba yoyote kwenye idara ya ushambuliaji., ni vijana bado wadogo watatufaa sana hapo mbeleni
Chakushangaza kabisa wachumbuzi wa soka Ulaya na mashabiki wanamzungumza kama mchezaji wa kiwango cha ajabu duniani, huwa wananichekesha sana. Jamaa ndio mchezaji anaepoteza mipira mingu zaidi uwanjani ndnai ya timu. Pasi zake mbovu shuti zake mbovu.
Siku zote Madrid tukicheza na timu zinazojilinda tuna force mashambukuzi kupitia katikati ya uwanja na sio pembeni iwe isiwe Ili tuingie kwenye box la adui lakini this time naona tumekomaa na mashambulizii kupitia pembeni hasa Kwa Vinni shida inakuja tukibanwa hapo Kwa Vinni basi hatupati kitu. Enzi ya BBC kulikuwa Kuna kubadilishana namba Kila baada ya dakika 10 ya mchezo. Forwards wetu wa mbele walikuwa wanabadilishana. Namba 9 namba 10 na namba 11 walikuwa wana alternate Ili kutengeneza nafasi Kila baada ya dakika kumi ila Leo Vinni akianza namba 11 Hadi dakika 90 zinaisha yupo pale pale. Aseee hii Madrid sio ileBado story zimekuwa zile zile unacheza vizuri ila haupati matokeo., ni wakati sasa wa Carlo kujua namna ya kucheza na hizi team zinazojilinda kwa idadi kubwa ya wachezaji.,
Itabidi Carlo abadili namna ya kumtumia Vinicius, kama inawezekana wakati tunashambulia awe anaingia kwenye box ili tupate mtu wa ziada kwenye box., kwasababu kijana anakaa sana pembeni., unakuta kwenye box yupo Karim peke yake ama hayupo kabisa.! Sasa hapo tunapata vipi magoli endapo hatuwabugudhi wapinzani!?
Leo nahisi tunadondosha point. Ngoja tusubiri game. Vyovyote vile sisi tutabaki kua madrid
Hata UEFA?Sidhani kama kuna kikombe kitakuja kwetu msimu kwa speed hii.
Na shida inaanzia hapo kwa Vini., ni mara chache sana utaona ana hana upande., Benzema na Rodrygo ndio mana nyingi wanahama., na inasaidia sana., kwa mfano Vini angeweza kurudi ndani kidogo ili amwachie beki wa kushoto nafasi ya kuongeza idadi ya washambuliaji., unaona jinsi Rodrygo alivyokuwa anamwachia nafasi Vazquez., ile piga nikupige inaweza kusababisha hata penalty., tuendelee kujipanga.,Siku zote Madrid tukicheza na timu zinazojilinda tuna force mashambukuzi kupitia katikati ya uwanja na sio pembeni iwe isiwe Ili tuingie kwenye box la adui lakini this time naona tumekomaa na mashambulizii kupitia pembeni hasa Kwa Vinni shida inakuja tukibanwa hapo Kwa Vinni basi hatupati kitu. Enzi ya BBC kulikuwa Kuna kubadilishana namba Kila baada ya dakika 10 ya mchezo. Forwards wetu wa mbele walikuwa wanabadilishana. Namba 9 namba 10 na namba 11 walikuwa wana alternate Ili kutengeneza nafasi Kila baada ya dakika kumi ila Leo Vinni akianza namba 11 Hadi dakika 90 zinaisha yupo pale pale. Aseee hii Madrid sio ile
Hata UEFA?
Sasa hapo man umevuka mpaka, jitahidi uwe unaangalia mpira kwa jicho la tatu., licha ya shida zake binafsi., Vinicius ni mchezaji mzuri sana., ni kwamba ana vitu vidogo dogo tu vinamharibia mpira wake., ila ninaamini atakuwa sawa tu hapo baadae.Ni Official Vini Jr ndio mchezaji wa ovyo zaidi Duniani kwa sasa. Inakuaje anacheza dakika 90 kila mechi? Hapo ndipo nashindwa kufahamu kabisa. Kwa kweli nimevurugwa, nikimuona hua napata homa.