Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Game plan iwe ni kucheza pasi ndefu za juu. Tu maintain hio game plan muda wote. Tusijiroge kupiga pasi nyingi fupi fupi wapinzani ni wazuri pasi fupi fupi. Nilitamani Camavinga na Tchou wawepo eneo la kiungo kwenye first 11.
Halla madrid.
Camavinga ameanza, ila Tchouaméni yupo bench, bado hayupo fit kihivyo., line-up ninaona ipo poa japokuwa ningependa Camavinga aanze kama beki wa kushoto kisha Tchouaméni apige hapo namba sita, kisha Luka na Toni juu na Valverde winga ya kulia., ila kwa vovyote ni poa tu.,
VamoooosReal!!!!
 
Sijui kwa nini watu ili jukwaa huwa wanabishana na mashabiki wengine ambao pia wana uzi zao wanaweza kwenda jadili yanao husu.

Leo tuko uwanjani, leo naamini tunaenda kucheza mpira wa ushindani. Kila la kheri kwetu sote

Hala Madrid
Relax mkuu. Hizi mabishano ndizo zinafanya tuupende huu mchezo. Don't take things too personally.

By the way, it's going to be a bad night for Madridistaz. Si mnajua vile tunafanyaga hapo Bernabeu?
 
Bado ninaamini hawa jamaa Leo tunawafunga., sioni wakitoka salama., shida ni ile tu wachezaji wetu kukwazika na vitu vidogo dogo haswa Vinicius., hopefully Carlo ataongea na vijana wake.
 
Back
Top Bottom