Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ni mimi mkuu, I'll break it down:

Umeona magoli tuliyofungwa Leo, nani kapoteza mpira magoli yote?

Kwanini camavinga sio starter France NT au RM kikosi kikiwa fit?

Match ambazo France alipoteza kwenye WC camavinga alianza na kutolewa, kwanini?

Dogo ana potential ila ana makosa mengi sana muangalie vizuri. Judgement yake ni mbaya, anamakosa mengi sana ambayo ni costly.

Tchou akirudi camavinga anarudi bench.

Leo tumeshinda ila hii RM haipo kwenye ubora wake kabisa na livakuku is even worse nadhani wote tunakubaliana na Hilo na Sasa ndo muda ambao camavinga anacheza sana, you can see the link there.

Cc ukikaidi utapigwa2
Anyway cha msingi ushindi mengine ni sehemu ya game
 
Ni mimi mkuu, I'll break it down:

Umeona magoli tuliyofungwa Leo, nani kapoteza mpira magoli yote?

Kwanini camavinga sio starter France NT au RM kikosi kikiwa fit?

Match ambazo France alipoteza kwenye WC camavinga alianza na kutolewa, kwanini?

Dogo ana potential ila ana makosa mengi sana muangalie vizuri. Judgement yake ni mbaya, anamakosa mengi sana ambayo ni costly.

Tchou akirudi camavinga anarudi bench.

Leo tumeshinda ila hii RM haipo kwenye ubora wake kabisa na livakuku is even worse nadhani wote tunakubaliana na Hilo na Sasa ndo muda ambao camavinga anacheza sana, you can see the link there.

Cc ukikaidi utapigwa2
Tchou akirud camavinga anaweza kurudi benchi lakin nikuulize nani aliyebadili game mechi ya fainali ya WC baada ya half time. Nenda kaangalie Ile mechi ndo utajua camavinga ni nani licha ya Kwamba walipoteza pambano.
 
Sijaangalia mpira ila kunamtu humu mbona alisema camavinga hajui mpira kulikon tena?

Hakuna mchezaji ambae atafanya mambo yote uwanjani kwa usahihi. Anaposema camavinga kasababisha goli zote. Ikiwa goli la 2 ni goli kipa ndio kapea yule mtu mpira baada ya camavinga ku slide na kupoteza mpira tuka regain position ila ni uzembe wa goli keeper.

Mtu anayesema camavinga kwa nini aanzi NT kila kocha ana mipango yake na namna anavyo tumia mchezaji kulingana na yeye anavyoona ni sahihi. Kumbuka NT ni mjumuuisho wa wachezaji waliobora so inategemea na game approach unayoitaji.

Camavinga ni bora anapocheza DM kama leo. Juu hapo kuna mtu anasema kacheza RM. Na ndio anakua kwenye ubora.

Hatuna wasiwasi na talent ya kijana. Kafanya msimu uliopita, kafanya worldcup atafanya na kuendelea kufanya Madrid.

Swali la kujiuliza camavinga ana enjoy kucheza DM ambayo pia tchouameni anacheza hapo hapo. Na inabidi iwe na position moja. Yoyote kwa yote kocha anajua nini kifanyike kwa kila game.

Tusichambue mpira livescore wana madrid

Hala Madrid
 
Mkibahatika kuwatoa livakuku then the only team that will be dangerous to you guys will be Napoli ambayo inatembeza kichapo kule Seria A. Man City is not that dangerous, Bayern Munich too. PSG is overrated.
Napoli hawezi kuwa dangerous Kwa Real Madrid ndio wanatimu nzuri msimu huu lakini hawana uo uzoefu wa kushindana kweny mechi kubwa za mtoana
 
Ni mimi mkuu, I'll break it down:

Umeona magoli tuliyofungwa Leo, nani kapoteza mpira magoli yote?

Kwanini camavinga sio starter France NT au RM kikosi kikiwa fit?

Match ambazo France alipoteza kwenye WC camavinga alianza na kutolewa, kwanini?

Dogo ana potential ila ana makosa mengi sana muangalie vizuri. Judgement yake ni mbaya, anamakosa mengi sana ambayo ni costly.

Tchou akirudi camavinga anarudi bench.

Leo tumeshinda ila hii RM haipo kwenye ubora wake kabisa na livakuku is even worse nadhani wote tunakubaliana na Hilo na Sasa ndo muda ambao camavinga anacheza sana, you can see the link there.

Cc ukikaidi utapigwa2

Hapna Camavinga atasogea juu alafu ni suala muda soon baada ya maveteran kustaafu

Midfielders Duo= Tchou + Camavinga + Valverde
 
Timu yenye Modric huhitaji maneno mob

Capture.PNG
 
Back
Top Bottom