Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Mungu awabariki Atletico. Mtani komaa na UEFA, domestic cups tunabeba zote msimu huu.UEFA kuna vibonde wengi msimu huu. Mkikomaa na ile ngekewa yenu, mnaweza kanya jambo.

Just imagine Liverpool, Chelsea na akiba Dortmund bado wako uko. Hata Man City na PSG wa sasa hawana maajabu kabisa. Teams zenye form nzuri, zilitoka mapema. Komaeni na hao vibonde!
 
Mungu awabariki Atletico. Mtani komaa na UEFA, domestic cups tunabeba zote msimu huu.UEFA kuna vibonde wengi msimu huu. Mkikomaa na ile ngekewa yenu, mnaweza kanya jambo.

Just imagine Liverpool, Chelsea na akiba Dortmund bado wako uko. Hata Man City na PSG wa sasa hawana maajabu kabisa. Teams zenye form nzuri, zilitoka mapema. Komaeni na hao vibonde!
Iyo ngekewa mbona nyie hamuipati
 
Mungu awabariki Atletico. Mtani komaa na UEFA, domestic cups tunabeba zote msimu huu.UEFA kuna vibonde wengi msimu huu. Mkikomaa na ile ngekewa yenu, mnaweza kanya jambo.

Just imagine Liverpool, Chelsea na akiba Dortmund bado wako uko. Hata Man City na PSG wa sasa hawana maajabu kabisa. Teams zenye form nzuri, zilitoka mapema. Komaeni na hao vibonde!

Yaani zinaform nzuri alaf zimetoka mapema ndio nn sasa
 
Thomas Tuchel tumuwahi mapema aseee ancelot anaweza timukia Brazil mwisho wa msimu.
Sie tuna options za kutosha., hatuna hata haja ya kukimbizana kutafuta kocha., kwanza ninadhani Ancelotti akitoka ataingia Raúl., ama atarudi Zidane ama Potechino., pia tuna Xabi Alonso anafanya ya vizur sana HUKO Bundesliga
 
Mungu awabariki Atletico. Mtani komaa na UEFA, domestic cups tunabeba zote msimu huu.UEFA kuna vibonde wengi msimu huu. Mkikomaa na ile ngekewa yenu, mnaweza kanya jambo.

Just imagine Liverpool, Chelsea na akiba Dortmund bado wako uko. Hata Man City na PSG wa sasa hawana maajabu kabisa. Teams zenye form nzuri, zilitoka mapema. Komaeni na hao vibonde!
Nyie hata Europa tu imewashinda., Sasa sijui tuwasaidie vp ndugu yangu.
 
Sie tuna options za kutosha., hatuna hata haja ya kukimbizana kutafuta kocha., kwanza ninadhani Ancelotti akitoka ataingia Raúl., ama atarudi Zidane ama Potechino., pia tuna Xabi Alonso anafanya ya vizur sana HUKO Bundesliga
Naomba tusifanye majaribio wa Hawa vijana tuliowalea na kuwakuza akina Raul na xabi. Labda uniambie zizou kidogo ntakuelewa. Tomas Tuchel au klopp ni Watu sahihi kwetu
 
Naomba tusifanye majaribio wa Hawa vijana tuliowalea na kuwakuza akina Raul na xabi. Labda uniambie zizou kidogo ntakuelewa. Tomas Tuchel au klopp ni Watu sahihi kwetu
Tusifanye nao majaribio kivipi Mkuu., mbona hao akina Klopp walitokea huko huko., Zidane alikuwa msaidizi wa Ancelotti baadae akaenda team B., then tukampandisha, Raul anafanya vizur tu kwasasa na RM Castilla, Alonso alikuwa Real Sociedad B, na kwasasa yupo Bayer Leverkusen, so hawa tukiwaamini wanaweza kufikia hizo level za akina Klopp baadae.
 
Tusifanye nao majaribio kivipi Mkuu., mbona hao akina Klopp walitokea huko huko., Zidane alikuwa msaidizi wa Ancelotti baadae akaenda team B., then tukampandisha, Raul anafanya vizur tu kwasasa na RM Castilla, Alonso alikuwa Real Sociedad B, na kwasasa yupo Bayer Leverkusen, so hawa tukiwaamini wanaweza kufikia hizo level za akina Klopp baadae.

Wamrudishe tu zidane yuko vizuri sana
 
Fifa best imetolewa jana. Goal keeper aliyepo fifa best XI site aliechukua tuzo. Nadhani walikuwa wanaangalia performance ya mwezi December mwaka jana.
 
Back
Top Bottom