Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kituo kinachofuata ni La Liga dhidi ya Sociedad., hii itakuwa Jumapili, mida ni ile ile saa Tano usiku., kisha Alhamis tunawakaribisha Valencia., safari hii ni noma sana

Ndio nafikiri baada ya valencia tutaenda club worldcup.

Naomba hii form na spirit ya kupambana iendelee hadi tunapoanza usiku wa uefa.

Go Madrid.
 
Leo nachokiona kwa kikosi hiki. Kitakua cha myumbuko. Nategemea kuna muda rodrygo atatoka wingi ya kushoto na kutengeneza second stricker. Huku litabaki jukumu la Valverde ku cover iyo space.

Pia kuna mida cebalos na kross watabaki chini then camavinga atasogea acheze more direct kati kama 8 ya ziada huku toni akicover eneo la beki wa kushoto hapo ikiwa imebaki na beki 3.
 
Back
Top Bottom