Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Atletico Madrid anafata nadhani, Ukweli jana ilipendeza kuona tumeweka vijana pale katikati ya dimba. Nasubiri ujio wa tchouameni uongezee nguvu
Vijana walijitahid kiukweli, sio mbaya sana, ningependa kuona wanajitahidi kukaa na mpira zaidi na kutengeneza nafasi kutokea kati kati, kwasababu kwasasa hatuna full back wa kufanya hiyo kazi.,

Kituo kinachofuata ni Kombe la Mfalme dhidi ya Atletico Madrid pale Bernabéu., halafu Jumapili tena hapo hapo tunawakaribisha Real Sociedad., yaani ni bampa to bampa
 
Back
Top Bottom