Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Team imecheza vizuri sana., ila tumekosa point tatu., goli Leo lilikuwa mguuni mwa Vinicius, ila ndio hivyo kijana sio mmaliziaji mzuri., kila kitu vijana wamefanya to its perfection., ila ndio hivyo., haikuwa bahati.
#HalaMadrid
Mkuu hivi unamlaumu vipi Vinicius nadhani Sociedad walikua bora sana katika kudefend ikiwa ni pamoja na kipa wao. Walikua bora sana huwezi kumlaumu mchezaji hata mmoja leo
 
Mkuu hivi unampaumu vipi Vinicius nadhani Sociedad walikua bora sana katika kudefend ikiwa ni pamoja na kipa wao. Walikua bora sana huwezi kumlaumu mchezaji hata mmoja leo
Mkuu uliangalia mpira!? Kama kweli anataka kuwa bora anahitaji awe mtulivu kwenye 18 ya team pinzani., nafasi tatu za wazi na zote zikapotea!?
Anahitaji kufanyia mazoezi eneo la umaliziaji sana sana., yeye pekee ndio alipata nafasi nyingi na nzuri za kupata goli kuliko wengeni, angekuwa Benzema ama Rodrygo bado ningemsema vile vile., Ancelotti kwa hulka yake ni lazima atoangea na kijana.,
 
Mkuu uliangalia mpira!? Kama kweli anataka kuwa bora anahitaji awe mtulivu kwenye 18 ya team pinzani., nafasi tatu za wazi na zote zikapotea!?
Anahitaji kufanyia mazoezi eneo la umaliziaji sana sana., yeye pekee ndio alipata nafasi nyingi na nzuri za kupata goli kuliko wengeni, angekuwa Benzema ama Rodrygo bado ningemsema vile vile., Ancelotti kwa hulka yake ni lazima atoangea na kijana.,
Nimeangalia mpira vizuri sana. Nafasi ambayo tunaweza kusema hakutulia ni ile ya mwanzo ambayo alipiga far post ila haikulenga goli ilipita pembeni kidogo goli. Ila nyingine alikua anajitahidi na golikipa alikua makini kufanya saves za hatari.
 
Ila point tano nyingi sana yan hata ukisema ushinde El Classico ila bado utahitaji kumuombea apoteze nyingine. Japo mpira nao una maajabu yake

Ndio changamoto en wapinzani wetu wanakaa sana na mpira muda mwingi ilo linapelekea wao kujilinda pia. Kwenye game 18 wana cleansheet game zaidi ya 13+. Zote hizo kaokota point.

Itakua ni challenge ila lazima timu ipambane hadi jua la jioni
 
Ndio changamoto en wapinzani wetu wanakaa sana na mpira muda mwingi ilo linapelekea wao kujilinda pia. Kwenye game 18 wana cleansheet game zaidi ya 13+. Zote hizo kaokota point.

Itakua ni challenge ila lazima timu ipambane hadi jua la jioni
Hakika mkuu jamaa wanastruggle sana kumkosa Lewa ila wanahakikisha wanashinda. Mi naamini kuna game watajikwaa tu
 
Nimeangalia mpira vizuri sana. Nafasi ambayo tunaweza kusema hakutulia ni ile ya mwanzo ambayo alipiga far post ila haikulenga goli ilipita pembeni kidogo goli. Ila nyingine alikua anajitahidi na golikipa alikua makini kufanya saves za hatari.
Hiyo hata siwezi kumlaumu., ile aliyotengewa mpira na Benzema ndio iliniuma zaidi, kwasababu Golikipa alishatoka na Benzem yupo pembeni yeye akapiga., kiukweli yule kijana bado anawenge mbele ya goli, yule mwenzie Rodrygo hawezi kukuacha kwenye zile nafasi zote.,
Ni matumaini yangu ataimarika kama atakubali kujifunza.
 
Tatizo ushindi wetu umekua mgumu sana kiasi kwamba wanaweza poteza points sisi tukapoteza pia hatuna consistency ya ushindi
Sisi tunashida ya kucheza na team zinazojilinda., na shida kubwa ni kuwa tulikuwa na mfumo wa kutumia sana wings, haswa full backs., na bahati mbaya huo upande kwasasa hatupo poa kwani vijana viwango vyao vimeshuka sana., ila kwa mpira tuliocheza jana ninaona kuna jibu kweli ile shida., so nina imani game zinazofuata hazitatupa tena shida kama mwanzo.
 
Hakika mkuu jamaa wanastruggle sana kumkosa Lewa ila wanahakikisha wanashinda. Mi naamini kuna game watajikwaa tu
Jamaa kwasasa wana upepo wao, wanashinda hata kama watacheza vibaya., so hiyo ni faida kubwa sana kwao, angalia sisi kwa mfano jana, tumecheza vizuri mno ila hatukupata goli., so muda mwingine kwenye Moira kuna bahati., so acha tuone huu upepo wao utadumu kwa muda gani.,
 
Hiyo hata siwezi kumlaumu., ile aliyotengewa mpira na Benzema ndio iliniuma zaidi, kwasababu Golikipa alishatoka na Benzem yupo pembeni yeye akapiga., kiukweli yule kijana bado anawenge mbele ya goli, yule mwenzie Rodrygo hawezi kukuacha kwenye zile nafasi zote.,
Ni matumaini yangu ataimarika kama atakubali kujifunza.
Ila mkuu tusisahau pia huyuhuyu alishawahi kufunga kwenye angle ngumu na dhidi ya timu zinazodefend zaidi ya Sociedad.

Anyways yamepita tuone mechi zijazo nini kitatokea
 
Jamaa kwasasa wana upepo wao, wanashinda hata kama watacheza vibaya., so hiyo ni faida kubwa sana kwao, angalia sisi kwa mfano jana, tumecheza vizuri mno ila hatukupata goli., so muda mwingine kwenye Moira kuna bahati., so acha tuone huu upepo wao utadumu kwa muda gani.,
Hawa ni kuhakikisha tunawapiga tukikutana wapate wenge.
 
Ni dhidi ya Barca semi final ya kombe la ligi Cop DelRey
Screenshot_20230130-171608.jpg
 
Barca ataendelea kutusumbua
Kama vijana wakicheza kama walivyo cheza jana., Hawa jamaa tunawatoa vizuri tu., shida kwangu ni Ancelotti., jamaa huwa ni muoga sana kubadilisha kikosi dhidi ya team kubwa, hapo utaona kiungo anasimama Tchouaméni, Kroos, Modrić na Valverde., kule mbele abaki Vinicius na Benzema., beki ya kushoto utaona yupo Mendy., Sasa hapo kama si tunatafuta kufungwa ni nini.,
Kwenye hiyo game ningependa kuona team inabaki kama ile ya jana., halafu pale kati anarudi Alaba, kisha beki ya kulia ANARUDI Carvajal ama Vasquez., jamaa ni lazima tuwachape.
 
Back
Top Bottom