Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Jamaa kwasasa wana upepo wao, wanashinda hata kama watacheza vibaya., so hiyo ni faida kubwa sana kwao, angalia sisi kwa mfano jana, tumecheza vizuri mno ila hatukupata goli., so muda mwingine kwenye Moira kuna bahati., so acha tuone huu upepo wao utadumu kwa muda gani.,
Sio upepo brother, Barca tuko na defense nzuri sana sasa hivi. Angalia idadi ya cleansheets zetu utajua nini naongelea. Araujo, Kounde, Christiansen na Balde wanafanya kazi nzuri sana!

Ukiwa na defense nzuri, goli moja linatosha kabisa kukupa point tatu. Hasa kwa team inayoweza kumiliki mpira kwa kiasi kikubwa.
 
Back
Top Bottom