ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,675
Siku hizi swala la usajiri tumekua wagumuHiv sisi dirisha hili dogo hatuna mpango nalo kabisaa
Siku hizi swala la usajiri tumekua wagumuHiv sisi dirisha hili dogo hatuna mpango nalo kabisaa
Sio upepo brother, Barca tuko na defense nzuri sana sasa hivi. Angalia idadi ya cleansheets zetu utajua nini naongelea. Araujo, Kounde, Christiansen na Balde wanafanya kazi nzuri sana!Jamaa kwasasa wana upepo wao, wanashinda hata kama watacheza vibaya., so hiyo ni faida kubwa sana kwao, angalia sisi kwa mfano jana, tumecheza vizuri mno ila hatukupata goli., so muda mwingine kwenye Moira kuna bahati., so acha tuone huu upepo wao utadumu kwa muda gani.,
Nusura tuwapige la tatuWamelegea tayari
Asensio huyu wa Leo ndio tuliomrudisha kutoka Espanyol., Golikipa hata hapati shida kujirushaNani kaliona bomba la Assensio?