Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,363
Ancelotti bado anawaamini Modrić na Kroos, ila kiukweli kwasasa wapo slow sana., yaani licha ya kuwa na Valverde kama ziada katika kiungo ila jamaa bado wanacheza vizuri kati kati ya uwanja., shida nyingine tuliyonayo ni kuwa na watu wachache wakati tunashambulia.!
Ceballos ameingia acha tuone kama atafanya mabadiliko yoyote pale kati kati.
Ceballos ameingia acha tuone kama atafanya mabadiliko yoyote pale kati kati.