Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ancelotti bado anawaamini Modrić na Kroos, ila kiukweli kwasasa wapo slow sana., yaani licha ya kuwa na Valverde kama ziada katika kiungo ila jamaa bado wanacheza vizuri kati kati ya uwanja., shida nyingine tuliyonayo ni kuwa na watu wachache wakati tunashambulia.!
Ceballos ameingia acha tuone kama atafanya mabadiliko yoyote pale kati kati.
 
Naangalia game timu yetu inatia huruma
Tunahitaji vijana wenye kasi kwenye kiungo., hii itatusaidia wakati wa kushambulia kuwa tutakuwa na wachezaji wengi eneo la Atletico., so option zinakuwa nyingi pia., ila hii ya kuwa wa watu wawili ama watatu wakati tunashambulia wakati huo wao wakiwa wengi itatuwia ngumu sana kupata goli.
 
Ikiwezekana Camavinga ahaime hapo hapo, Mendy anamakosa mengi
Upande huo unamfaa, anajitahid sana, ila sasa sijamuona akicheza upande huo team ikiwa kwenye presha ya kushambuliwa., acha tuone huko mbeleni itakuwaje.,
Mendy amekuwa mzito kweli kweli., haeleweki kama anakaba ama anashambulia
 
Upande wa pili leo tumewakanda wakatarunya
IMG_20230127_011732.jpg
 
Back
Top Bottom