Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,363
Tuna shida pia ya muunganiko, utadhani vijana hawajawahi kucheza pamoja,
Acha tuone kipindi cha pili vijana watarudi na nini.,
Acha tuone kipindi cha pili vijana watarudi na nini.,
Ancelotti ni muoga sana wa kujaribu mbinu mpya, yaani ni mpka apate shida., ni vizuri ameona Kroos na Modrić sio tegemeo tena, labda hapo baadae atafanya mabadiliko yenye tija, dakika za mwisho tumecheza vizuri kuliko tulivyoanza.,
Rodrygo sio kiungo ila anaweza kucheza kati kati vizuri zaid aanvyocheza winga., Ceballos amecheza vizuri sana pia.,
Hopefully hiki kipigo kitatuamsha kutoka usingizni
Ninadhani Ancelotti ameliona hilo, ila pia analitambua kwasababu alimchezesha hilo eneo jana, hopefully tutapata mabadiliko mengine zaidi ya hayo.,Hope hiki kipigo kitakuja na mabadiriko kidogo kwenye timu. Rodrygo akicheza kama free player nje ya box na kuchukua mipira kuanzisha buildi up katika eneo la mpinzani anakua hatari.
Sikuelewa kwa nini camavinga alitoka. Niliona alijitahidi kwa kipindi cha kwanza. Ni vile timu ilikua inapoteza mipira hovyo na yote ikazaa mabao.
Yote kwa yote tulistahili kufungwa leo. Tusubiri game ya tarehe 19
Team imechoka kweli kweli, utadhani sie tu ndio tulienda world cup.,Duhh tumeshindiliwa any way madrid siwadai chochote wachezaji wamechoka sana walitumia nguvu sana msimu uliopita tulitakiwa tuwe kama Liverpool sema ujuzi tu unatubeba tukutane fifa world club
Halla Madrid
Ni Modric pekee anaeweza kusingizia worldcup wengine wote hawana sababu ya msingi kuwa na viwango vibovu. Brazil iliondolewa mapema (robo fainali), Ujerumani walitoka makundi(Kroos hakuwepo na Rudiger ni sub tu kwa Madrid), Benzema hakucheza worldcup na spain hawana mchezaji wa madrid anaeanza.Team imechoka kweli kweli, utadhani sie tu ndio tulienda world cup.,
Ni kweli kabisa man, shida ni kuwa Ancelotti sio mtu wa kubadilika, anaweza anakang'ang'ana hata kama team inaelekea shimoni, acha nijipe matumaini tu kuwa atabadilika.,Ni Modric pekee anaeweza kusingizia worldcup wengine wote hawana sababu ya msingi kuwa na viwango vibovu. Brazil iliondolewa mapema (robo fainali), Ujerumani walitoka makundi(Kroos hakuwepo na Rudiger ni sub tu kwa Madrid), Benzema hakucheza worldcup na spain hawana mchezaji wa madrid anaeanza.
Hii mechi ya tatu tunacheza hovyo ni muda sasa Ancelloti afanye kazi asitafutiwe visingizio.
Dstv wataonyesha hii mechi?Tupo uwanjani na Villarreal leo
Halla Madrid
Tusha pigwa tayariReal Madrid XI: Courtois: Nacho, Militao, Rudiger, Mendy; Kroos, Camavinga, Valverde, Rodrygo, Vinicius, Benzema
🥲Tusha pigwa tayari