Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ancelotti ni muoga sana wa kujaribu mbinu mpya, yaani ni mpka apate shida., ni vizuri ameona Kroos na Modrić sio tegemeo tena, labda hapo baadae atafanya mabadiliko yenye tija, dakika za mwisho tumecheza vizuri kuliko tulivyoanza.,
Rodrygo sio kiungo ila anaweza kucheza kati kati vizuri zaid aanvyocheza winga., Ceballos amecheza vizuri sana pia.,
Hopefully hiki kipigo kitatuamsha kutoka usingizni
 
Ancelotti ni muoga sana wa kujaribu mbinu mpya, yaani ni mpka apate shida., ni vizuri ameona Kroos na Modrić sio tegemeo tena, labda hapo baadae atafanya mabadiliko yenye tija, dakika za mwisho tumecheza vizuri kuliko tulivyoanza.,
Rodrygo sio kiungo ila anaweza kucheza kati kati vizuri zaid aanvyocheza winga., Ceballos amecheza vizuri sana pia.,
Hopefully hiki kipigo kitatuamsha kutoka usingizni

Hope hiki kipigo kitakuja na mabadiriko kidogo kwenye timu. Rodrygo akicheza kama free player nje ya box na kuchukua mipira kuanzisha buildi up katika eneo la mpinzani anakua hatari.

Sikuelewa kwa nini camavinga alitoka. Niliona alijitahidi kwa kipindi cha kwanza. Ni vile timu ilikua inapoteza mipira hovyo na yote ikazaa mabao.

Yote kwa yote tulistahili kufungwa leo. Tusubiri game ya tarehe 19
 
Duhh tumeshindiliwa any way madrid siwadai chochote wachezaji wamechoka sana walitumia nguvu sana msimu uliopita tulitakiwa tuwe kama Liverpool sema ujuzi tu unatubeba tukutane fifa world club
Halla Madrid
 
Hope hiki kipigo kitakuja na mabadiriko kidogo kwenye timu. Rodrygo akicheza kama free player nje ya box na kuchukua mipira kuanzisha buildi up katika eneo la mpinzani anakua hatari.

Sikuelewa kwa nini camavinga alitoka. Niliona alijitahidi kwa kipindi cha kwanza. Ni vile timu ilikua inapoteza mipira hovyo na yote ikazaa mabao.

Yote kwa yote tulistahili kufungwa leo. Tusubiri game ya tarehe 19
Ninadhani Ancelotti ameliona hilo, ila pia analitambua kwasababu alimchezesha hilo eneo jana, hopefully tutapata mabadiliko mengine zaidi ya hayo.,
Camavinga kutoka kwake sikupaelewa., alitakiwa atoke Modrić kuanzia tunaanza kipindi cha pili pia na Kroos., Hawa jamaa wametumika kwa muda mrefu sana ni vema tukawapumzisha kidogo, acha akina Ceballos wapewe nafasi kwa wakati huu kwanza mpka jamaa watakapokuwa Sawa.
 
Team imechoka kweli kweli, utadhani sie tu ndio tulienda world cup.,
Ni Modric pekee anaeweza kusingizia worldcup wengine wote hawana sababu ya msingi kuwa na viwango vibovu. Brazil iliondolewa mapema (robo fainali), Ujerumani walitoka makundi(Kroos hakuwepo na Rudiger ni sub tu kwa Madrid), Benzema hakucheza worldcup na spain hawana mchezaji wa madrid anaeanza.

Hii mechi ya tatu tunacheza hovyo ni muda sasa Ancelloti afanye kazi asitafutiwe visingizio.
 
Ni Modric pekee anaeweza kusingizia worldcup wengine wote hawana sababu ya msingi kuwa na viwango vibovu. Brazil iliondolewa mapema (robo fainali), Ujerumani walitoka makundi(Kroos hakuwepo na Rudiger ni sub tu kwa Madrid), Benzema hakucheza worldcup na spain hawana mchezaji wa madrid anaeanza.

Hii mechi ya tatu tunacheza hovyo ni muda sasa Ancelloti afanye kazi asitafutiwe visingizio.
Ni kweli kabisa man, shida ni kuwa Ancelotti sio mtu wa kubadilika, anaweza anakang'ang'ana hata kama team inaelekea shimoni, acha nijipe matumaini tu kuwa atabadilika.,

Ila awe makini tu, kwasababu Raul anakuja wa moto kweli kweli., na jamaa amekataa offer za team mbali mbali ili abaki pale, hesabu yake ninajua ni kupewa team kubwa hapo baadae.
 
Pigweni tena na leo watani. Sisi tunataka kukusanya kila kitu hapo Spain.

Team yenu naona haina options sehemu nyingi uwanjani. Akiumia Benzema ndio basi tena, asipokua form Modric ndio basi tena, kwenye defense pia ni matobo matupu.

Kwa umri na kiwango cha Kroos, kuendelea kucheza Madrid ni kiashiria cha ukosefu wa options. Tabu kubwa zaidi ni kwamba, quality players ni wa kutafuta kwa tochi huko sokoni. Kimeumana ndugu mtani!
 
Back
Top Bottom