Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Sikutazama game ila naamini tulicheza vibaya. Hatuwezi struggle na sevilla kwa kweli
Ilikuwa Valencia Mkuu, tunakuwa na shida sana tunapocheza na team inayolinda na kukaa na mpira., tuna shida ya ubunifu tunapokuwa eneo la adui., game kama za jana na Valencia, Villarreal na aina ya team hizi ili tuwapige vizuri tunahitaji kiungo wa aina ya Ozil, James ama Ordegaard, yaani anakuwa na kazi moja tu ya kuset mipango pale mbele., Sasa kwa style tunayocheza inakuwa ngumu kwasababu tunamtegemea jamaa waache nafasi kwenye wings ili tuweze kupitia huko, kitu ambacho hakitokei.,
Ancelotti ninadhani atalifanyia kazi hili suala.
 
Ilikuwa Valencia Mkuu, tunakuwa na shida sana tunapocheza na team inayolinda na kukaa na mpira., tuna shida ya ubunifu tunapokuwa eneo la adui., game kama za jana na Valencia, Villarreal na aina ya team hizi ili tuwapige vizuri tunahitaji kiungo wa aina ya Ozil, James ama Ordegaard, yaani anakuwa na kazi moja tu ya kuset mipango pale mbele., Sasa kwa style tunayocheza inakuwa ngumu kwasababu tunamtegemea jamaa waache nafasi kwenye wings ili tuweze kupitia huko, kitu ambacho hakitokei.,
Ancelotti ninadhani atalifanyia kazi hili suala.
Asanten madrid,, hamna baya
IMG-20230102-WA0006.jpg
 
Leo mtani, lazima nile tunda lako kimasikhara. Maana hapa karibuni umezidisha mazoea!
 
Ninaona kama wachezaji wetu hawajiamini, Modrić hayupo kwenye kiwango chake tokea arejee kwenye Kombe la Dunia., tuna viungo Wanne uwanjani ila kukaa na mpira umekuwa mtihani.,
Hatuwezi kushinda kama hata kukaa tu mpira inakuwa shida kwetu., bado Ancelotti ana muda wa kurekebisha hizi mambo.,
 
Back
Top Bottom