pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,268
- 3,791
Wazee hii fainal inachezwa saa ngap?
22:00hrs Saa za Africa Mashariki Mkuu.,Wazee hii fainal inachezwa saa ngap?
Tupo uwanjani leo kila la kheri Madrid
Halla Madrid
Shukrana sana22:00hrs Saa za Africa Mashariki Mkuu.,
Canal sport wataonyesha, ila Dstv sina uhakika, ngoja tusubiri wadau watatujuza hapa hapaWakuu hii game itaonyeshwa na DSTV au Canal Sport?
Sina uhakika kiukweli, Mimi ninaangalia kupitia Canal sportDstv wanaonesha game kweli wakuu?