ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,675
Valencia ilikuaSikutazama game ila naamini tulicheza vibaya. Hatuwezi struggle na sevilla kwa kweli
Valencia ilikuaSikutazama game ila naamini tulicheza vibaya. Hatuwezi struggle na sevilla kwa kweli
Ilikuwa Valencia Mkuu, tunakuwa na shida sana tunapocheza na team inayolinda na kukaa na mpira., tuna shida ya ubunifu tunapokuwa eneo la adui., game kama za jana na Valencia, Villarreal na aina ya team hizi ili tuwapige vizuri tunahitaji kiungo wa aina ya Ozil, James ama Ordegaard, yaani anakuwa na kazi moja tu ya kuset mipango pale mbele., Sasa kwa style tunayocheza inakuwa ngumu kwasababu tunamtegemea jamaa waache nafasi kwenye wings ili tuweze kupitia huko, kitu ambacho hakitokei.,Sikutazama game ila naamini tulicheza vibaya. Hatuwezi struggle na sevilla kwa kweli
Asanten madrid,, hamna bayaIlikuwa Valencia Mkuu, tunakuwa na shida sana tunapocheza na team inayolinda na kukaa na mpira., tuna shida ya ubunifu tunapokuwa eneo la adui., game kama za jana na Valencia, Villarreal na aina ya team hizi ili tuwapige vizuri tunahitaji kiungo wa aina ya Ozil, James ama Ordegaard, yaani anakuwa na kazi moja tu ya kuset mipango pale mbele., Sasa kwa style tunayocheza inakuwa ngumu kwasababu tunamtegemea jamaa waache nafasi kwenye wings ili tuweze kupitia huko, kitu ambacho hakitokei.,
Ancelotti ninadhani atalifanyia kazi hili suala.
22:00hrs Saa za Africa Mashariki Mkuu.,Wazee hii fainal inachezwa saa ngap?
Tupo uwanjani leo kila la kheri Madrid
Halla Madrid
Shukrana sana22:00hrs Saa za Africa Mashariki Mkuu.,
Canal sport wataonyesha, ila Dstv sina uhakika, ngoja tusubiri wadau watatujuza hapa hapaWakuu hii game itaonyeshwa na DSTV au Canal Sport?
Sina uhakika kiukweli, Mimi ninaangalia kupitia Canal sportDstv wanaonesha game kweli wakuu?