Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,363
FT: Real Madrid 1-1 Girona
Bado vijana wetu pale mbele kuna vitu wanakosa, haswa kwenye kufanya maamuzi., ila Golikipa wa Girona kafanye kazi nzuri sanaNaona Madrid hawako poa leo, shida nini?
Kwa kweli, Benzema ni injure nini?Bado vijana wetu pale mbele kuna vitu wanakosa, haswa kwenye kufanya maamuzi., ila Golikipa wa Girona kafanye kazi nzuri sana
Vipimo vilionyesha kuwa yupo poa, ila bado hajisikii vizuri, so Coach ameona ni vema kama akampumzisha mpka hapo atakapokuwa vizuri.Kwa kweli, Benzema ni injure nini?
Maana hajacheza leo
Hapa Perez alifanya makosa replacement ya Benzema itakuja kutu cost one day kwenye big gameVipimo vilionyesha kuwa yupo poa, ila bado hajisikii vizuri, so Coach ameona ni vema kama akampumzisha mpka hapo atakapokuwa vizuri.
Yupo RodrygoHapa Perez alifanya makosa replacement ya Benzema itakuja kutu cost one day kwenye big game
Rodrigo sio natural number 9Yupo Rodrygo
Perez hata hakuzingua, Tulipata nafasi ya kumsajili Gabriel Jesus, ishu ya passport ikazingua, basi Ancelotti akaamua abaki na wachezaji tulionao huku akiwa na Imani kuwa Hazard atacover hiyo nafasi, ila jamaa ndio akazingua, halafu tuna mtu anakula Mshahara wa bure pale kwa jina la Mariano, jamaa aligoma kuondoka pia, so kumsajili mchezaji mwingine wakati tuna watu wanakula mshahara wa bure sio Sawa kwanza ukizingatia na hali. Kifedha ya sasa kwenye club nyingi.,Hapa Perez alifanya makosa replacement ya Benzema itakuja kutu cost one day kwenye big game
Hata benz sio natural namba 9. Kinachomsaidia benz9 ni kwamba kuna muda anapotea pale namba 9 anakwenda 10 anakwenda 11 anakipiga vizuri kama asipo funga anacreate chances anatoa assist na anawapa presha mabeki pinzani wanamsahau. Zama za false 9 ndo hizi. Natural 9 ni ngumu kukupa unachotaka mabeki wakimkamia vizuri.Rodrigo sio natural number 9
Acha kabisa Mkuu, hii ishu imekuwa shida miaka nenda rudi., na ndio kitu kinachosababisha kutokuchukua La Liga mfululizo.,Hivi jamani ndo tumekuwa robin hood of la liga. We take points from big clubs and give to small clubs. Hizi drooo zitatucost wazeee