Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Habari ya Mbappe imekaaje nasikia anajuta kuongeza mkataba anataka kuja Los Blancos
Dogo amepagawa, ana ugomvi na Neymar, bahati mbaya akajikuta kwenye team ya neymar wapo wengi zaidi na wenye nguvu haswa Messi, Sergio Ramos aliyekuwa anamtegemea amkingie kifua na yeye amekuwa mpole., so hana sauti dressing room, na mbaya zaidi maofisa wa club na wenyewe wapo kimya, so anaona kama hatendewi haki.
Suala la kuja Los Blancos ninaona kama Perez hana time nae, ila acha tuone itakavyokuwa huko mbeleni.
 
Dogo amepagawa, ana ugomvi na Neymar, bahati mbaya akajikuta kwenye team ya neymar wapo wengi zaidi na wenye nguvu haswa Messi, Sergio Ramos aliyekuwa anamtegemea amkingie kifua na yeye amekuwa mpole., so hana sauti dressing room, na mbaya zaidi maofisa wa club na wenyewe wapo kimya, so anaona kama hatendewi haki.
Suala la kuja Los Blancos ninaona kama Perez hana time nae, ila acha tuone itakavyokuwa huko mbeleni.
Mbappe alikosea sana kusaini ule mkataba.
 
Watani leo tuko na jambo letu hapo uani kwenu.

Shida yenu bana, hata tukiwa tumechoka namna gani, bado huwa hamzungushi.

Pamoja na injuries za Araujo na Kounde pamoja na defense yetu kukatika kama kiuno cha Yondo sister, utashangaa eti tunawakamata hapo hapo kibarazani kwenu!

 
1665926142793.png
 
Back
Top Bottom