Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,363
Viniciuuuuus......
Real Madrid 2-0 Shakhtar Donetsk
Real Madrid 2-0 Shakhtar Donetsk
Sevila chaliTupo uwanjani timu pekee toka Spain inayoitendea haki michuano ya uefa
ATM CHALI
BACA CHALI View attachment 2378204
Afadhali angepata hiyo nafasi Real Betis., wapo vizur kuliko SevillaSevila chali
Sijajua ni maelekezo ya Mwalimu ama ni dogo amejiongeza, Ninaona Rodrygo anacheza zaidi kati kati, kama anasaidiana na Benzem hivi, wakati Valverde anacheza winga ya kulia., acha tuone kama ndio majukumu mapya Rodrygo amepewa ama ni kwenye game hii tu.
Bado vijana wana kitete wakiwa eneo la hatari la upinzani, Ancelotti anahitaji I kulifanyia kazi hili., nafasi tunazokosa zitatugharimu, Game dhidi ya Osasuna ilikuwa hivi hivi, tukajikuta tumetoka droo.,Tumeshinda. Game ya leo tumecheza vizuri ilikua ni swala tu la kuweka mpira wavuni. Rodrygo na benzema wakisimama mbele wanacheza vizuri sana
Vinicius Jr angekuwa mmaliziaji mzuri, saa hizi tungekuwa tunaongoza kwa goli 4
Hatii aibu, ila ni utulivu tu hana mbele ya lango., ninadhani Ancelotti ataongea nae, kwasababu kuna sehemu anapiga wakati wenzie wapo sehemu nzuri ya kufunga.,huyo jamaa anatia aibu kabisa