Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,368
Siku nyingi sija-stream, ila jaribu hesgoal.com.Link leo tuko majukumuni
Mwaka jana alikosa Penalty 2 kwenye match 1 na hawa Osasuna.Karim amekosa penalty
Zimeongezwa dk 5.Jamaa ninaona wameamua kujilinda, huku wakitumia counter attack, wamejaribu kadhaa ila hawajafanikiwa.
Hopefully kipindi hiki cha pili tutamalizana nao mazima.,
#HalaMadrid
Ligi ndio kwanza inaanza, msimu huu mwenye kikosi kipana ndio atabeba ndoo., mdogo mdogo acha tuone itakua vpMungu awabariki Osasuna, wamefanya kazi nzuri sana.
Tulikubaliana kila mtu ashinde mechi zake ndugu mtani.
Yeah. Sisi injuries za international break almanusra tuangushe point kwa Mallorca. Fitness ya wachezaji ndio itaamua msimu huu.Ligi ndio kwanza inaanza, msimu huu mwenye kikosi kipana ndio atabeba ndoo., mdogo mdogo acha tuone itakua vp
International huwa zinakuja na shida zake mara nyingi., kwa upande wetu hii international break ilitupungizia ile sprit wachezaji waliokuwa nayo, ila sio mbaya, hopefully tutaanza tena kukiwasha dhidi ya Shakhtar Donetsk,kwenye UCLYeah. Sisi injuries za international break almanusra tuangushe point kwa Mallorca. Fitness ya wachezaji ndio itaamua msimu huu.
By the way, Laliga ni main priority kwetu. Huko UEFA nadhani mpaka next season ndio tutakua favourites. Ikitokea tukafanya vizuri msimu huu, itakua ni ziada tu.
Vinicious sio mtoto tena. Hongereni mmekuza!
Hasta el final, Vamoos RealTupo uwanjani timu pekee toka Spain inayoitendea haki michuano ya uefa
ATM CHALI
BACA CHALI View attachment 2378204