Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

1664734023052.png
 
Jamaa ninaona wameamua kujilinda, huku wakitumia counter attack, wamejaribu kadhaa ila hawajafanikiwa.
Hopefully kipindi hiki cha pili tutamalizana nao mazima.,
#HalaMadrid
 
Mungu awabariki Osasuna, wamefanya kazi nzuri sana.


Tulikubaliana kila mtu ashinde mechi zake ndugu mtani.
 
Ligi ndio kwanza inaanza, msimu huu mwenye kikosi kipana ndio atabeba ndoo., mdogo mdogo acha tuone itakua vp
Yeah. Sisi injuries za international break almanusra tuangushe point kwa Mallorca. Fitness ya wachezaji ndio itaamua msimu huu.

By the way, Laliga ni main priority kwetu. Huko UEFA nadhani mpaka next season ndio tutakua favourites. Ikitokea tukafanya vizuri msimu huu, itakua ni ziada tu.

Vinicious sio mtoto tena. Hongereni mmekuza!
 
Yeah. Sisi injuries za international break almanusra tuangushe point kwa Mallorca. Fitness ya wachezaji ndio itaamua msimu huu.

By the way, Laliga ni main priority kwetu. Huko UEFA nadhani mpaka next season ndio tutakua favourites. Ikitokea tukafanya vizuri msimu huu, itakua ni ziada tu.

Vinicious sio mtoto tena. Hongereni mmekuza!
International huwa zinakuja na shida zake mara nyingi., kwa upande wetu hii international break ilitupungizia ile sprit wachezaji waliokuwa nayo, ila sio mbaya, hopefully tutaanza tena kukiwasha dhidi ya Shakhtar Donetsk,kwenye UCL

Vinicius amekuwa, ila bado kidogo, hajawa mtu wa kuamua matokeo, bado ana ka utoto., angekuwa na utulivu kama wa Valverde ama Rodrygo ingekuwa poa sana, sema ndio hivyo huwezi kupewa vyote.,
 
Back
Top Bottom