Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,363
Check hesgoal.comLink ya kuangalia game jaman naombeni
Check hesgoal.comLink ya kuangalia game jaman naombeni
Yeah,the man himself Fede valverde,a.k.a FedEx...(Fedexpress)Perfection ya Rodrygo na Velvede wanapokuwa karibu na goli huwa ni ya kiwango cha juu sana.
Shougar weweTunawakanda vizuri hapo hapo kwao Wanda metropolitano.



Kwa matokeo ya hii timu yetu mwaka huu tusipokua makini tunaweza pata kisukari kwa raha![]()
Jamaa huwa wanajikakamua kweli kweli tukikutana, ila ukweli ni kwamba bado hawajafikia level zetu., aina ya game tuliyocheza ndio sahihi, kwasababu tungetumia nguvu kama wao ni lazima tungemaliza game pungufu.,Game ya leo ilikua vita
Kwetu ushindi ni jambo la kwanza, na muhimu, kucheza vizuri huwa inatokea na inategemea pia aina ya mpinzani, kuna team inaingia uwanjani kutibua mipango tu ama kupack bus, Sasa mpinzani wa aina hiyo akikubahatisha goli mnaweza mkatoka droo ama ukafungwa,
Valverde hana uwezo mkubwa kama wa Modrić ama Camavinga, ila jamaa kiukweli ana nguvu, muda wote uwanjani anakimbia na huoni dalili za yeye kuchoka, huwa ninapenda ahusike kwenye counter attack., yupo vizuri sana kwenye sector hiyo, ile ya juzi Vinicius aliingilia ila jamaa alikuwa anaweka kamba.,
Yeah., na uwezo niliokuwa ninazungumzia hapo, ni uwezo wa kumiliki mpira, namna ya kuchezesha wenzake, dogo kwenye sector hiyo yupo vizuri, so uwezo wa namna hiyo nilitamani na Valverde awe nao ukiweka na nguvu aliyonayo, ingekuwa ni Habari njema sana kwetu., since wanacheza kama team kila mmoja atachangia kipawa alichonacho uwanjani ili tuwe na team bora.Camavinga nae amkua na uwezo mkubwa?
Tupo uwanjani Leo
4 kamili usikuSaa ngapi