Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,363
Hazard ndio tu katuangusha, tulitakiwa tuwapige jamaa Tano kabisa.Na ndio huwa kipindi chetu cha ushindi
Mchezo ulikuwa mzuri, wale vijana wa Kifaransa wamefanya vizuri tu kiukweli,Valverde na Mendy na Militao ndio kidogo walikuwa hawapo kwenye mchezo muda wote., ila wamejitahidi, sio rahisi kuwafunga Celta kwao..

️ 𝗚𝗥𝗢𝗨𝗣 𝗙
Real Madrid
Leipzig
Shakhtar
Celtic