Maili tatu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 830
- 1,076
Afadhali huku hakuna umbea Kuna ustaarabu tofauti na majukwaa ya epl...
Casemiro kuondoka kwa mimi naona ni sawa,kwa sababu ameshinda kila kitu kwa ngazi ya club akiwa madrid hapa,ni wakat muafaka wa yeye kutafuta hela sasa zakustafu...huyu Mariano sijui kwa nini huwa tunamuweka kikosini,awekwe sokoni.Kwa mujibu wa taarifa ni kwamba, Ancelotti na kijana wameongea kwa kina, huku Ancelotti akimjulisha kijana namna anavyohitajika ndani ya kikosi, ila jamaa kwa mpunga aliowekewa mezani haoni namna anaweza kubaki. So msimu huu tunaingia bila huduma ya Casemiro.,
Wakati huo huo akina Mariano na mwenzie Ordiozola bado wapo wapo sana.,
Ukiangalia Casemiro ameshafika kwenye peak na kwa club yetu hakuna ambacho hajashinda,so kind hata ile morali inakuwa imeshuka...lakini pia kwa misimu miwili hii ukiangalia vizuri utaona hata kiwango chake kimeshuka kias flan...ni wakat muafaka kwa yeye kuondoka lakini pia ili club iweze kuwatumia hawa vijana waliosajiliwa vizuri,tuna kundi kubwa sana la vijana ambao wanaweza cheza namba yake.Casemiro
“I've discussed it with him this morning. He wants to try a new challenge, a new opportunity. The club understand it, with all he's done for this club and the person he is, we have to respect it. There are talks right now, he's still a Real Madrid player at this stage, but he wants to leave. If he goes, we have the resources to replace him".
“I haven't tried to convince him, I just listened, because I have spoken to Casemiro throughout my time here and he has helped us so much. Having heard what he wants, there's no way back. If he doesn't stay, we'll have an enormous sense of gratitude to him for all he's done. We have replacements within the squad. Tchouameni was signed for this position and he's one of the best central midfielders on the market right now, then we've got Kroos, who can play in that position too, just like he did in my second year here, and there's Camavinga as well”.
Kutoka kwenye website ya club.,
Mkuu Mariano ni tatizo kubwa, yule jamaa ni mbinafsi sijawahi ona, kinachomfanya abaki clubini licha ya kutopewa nafasi ni mshahara wake man, hataki kulipwa pungufu ya mshahara anaopata kwasasa, msimu uliopita club ilifikia makubaliano na Rayo Vallecano, ila jamaa akachomoa kwa kuwa jamaa hawakuwa tayari kumpa mshahara anaolipwa kwasasa.,Casemiro kuondoka kwa mimi naona ni sawa,kwa sababu ameshinda kila kitu kwa ngazi ya club akiwa madrid hapa,ni wakat muafaka wa yeye kutafuta hela sasa zakustafu...huyu Mariano sijui kwa nini huwa tunamuweka kikosini,awekwe sokoni.
Ni kweli kabisa, Hata Ancelotti atakuwa amemwelewa kwenye angle hiyo, kuwa hakuna dalili ya yeye kupiga tena mpunga mrefu siku za usoni,ndio maana akashindwa kuchomoa hii nafasi aliyoipata.Ukiangalia Casemiro ameshafika kwenye peak na kwa club yetu hakuna ambacho hajashinda,so kind hata ile morali inakuwa imeshuka...lakini pia kwa misimu miwili hii ukiangalia vizuri utaona hata kiwango chake kimeshuka kias flan...ni wakat muafaka kwa yeye kuondoka lakini pia ili club iweze kuwatumia hawa vijana waliosajiliwa vizuri,tuna kundi kubwa sana la vijana ambao wanaweza cheza namba yake.
Umewahi kuiona madrid yenye claude makelele au ulisimuliwa. Tuliofanikiwa kuiona ngoja tukae kimya utuambie wewe.
unaizungumzia ile mechi moja je baada ya kumuuza makelele nini kilifuata. Na kabla hajauzwa moto wa real madrid uliuona.Wakati Real anakula kipigo cha mbwa koko na cha aiabu kutoka kwa Juventus ya akina del Piero na Nedved je Makelele hakuwepo kwenye timu muda ule?
kile kipigo ndicho kilichomaliza ubabe wa real ulaya kwa zama zile.
unaizungumzia ile mechi moja je baada ya kumuuza makelele nini kilifuata. Na kabla hajauzwa moto wa real madrid uliuona.
Humjui claude makelele na role aliyoicheza pale madrid. Ungeijua usingemdharau.moto wa real uliishia kwneye kile kipigo, haikuogopewa tena baada ya pale.
Na Huyo Makelele hakua starter kwenye timu kwa zaidi ya miaka mitatu tu, alianza kucheza baada ya kuondoka kwa redondo kwenye timu.
Humjui claude makelele na role aliyoicheza pale madrid. Ungeijua usingemdharau.
Second half was near perfect
Mkuu, ku control mchezo kwetu ina maana kufunga, ama kupata magoli, ishu ya umiliki wa mpira wala sio ishu sana kwa Ancelotti., kila game huwa ana namna ya kuingia, Hawa Celta ni watundu sana kwenye kuchezea mpira haswa wakiwa kwao, so ili kuenda nao Sawa ina maana ni kuwafunga.Bado tuna tatizo la ku control mchezo.