Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Our starting XI
1658891535307.png
 
Team imeendelea kuimarika, ninadhani game inayofuata dhidi ya Juventus itakuwa nzuri zaidi,
Tchouaméni ninaona Leo uoga umemtoka, labda kucheza viungo Wanne leo itakuwa imemsaidia kwasababu akipanda Camavinga alikuwa anashuka..
Leo tulikuwa na ingizo jipya kutoka Castilla, beki wa kulia anaitwa Vinicius Tobias, tunatarajia kuwa yeye ndio atakuwa mrithi wa Carvajal huko mbeleni, ni game yake ya kwanza, bahati mbaya amesingiziwa penalty, sidhani kama hilo litamshusha morale yake ya kucheza,. Ninatumaini atapewa nafasi tena kwenye game inayofuata.
 
Team imeendelea kuimarika, ninadhani game inayofuata dhidi ya Juventus itakuwa nzuri zaidi,
Tchouaméni ninaona Leo uoga umemtoka, labda kucheza viungo Wanne leo itakuwa imemsaidia kwasababu akipanda Camavinga alikuwa anashuka..
Leo tulikuwa na ingizo jipya kutoka Castilla, beki wa kulia anaitwa Vinicius Tobias, tunatarajia kuwa yeye ndio atakuwa mrithi wa Carvajal huko mbeleni, ni game yake ya kwanza, bahati mbaya amesingiziwa penalty, sidhani kama hilo litamshusha morale yake ya kucheza,. Ninatumaini atapewa nafasi tena kwenye game inayofuata.
Huyu ndo yule wamemchukua kwa mkopo toka shakhtar?
 
Acha nyinyi muendelee ku balance wenzenu wanajiimarisha, Lewandowski sio mchezo wa kitoto ndugu. Kama ni suala la ku balance Barca wangelirizika na Auba, Ila hawakutaka kubahatisha,

Na kuendelea kumtumainia Hazard kwa lolote ni uwendawazimu.
Sahii kabisa
 
Back
Top Bottom