Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Wadau wanasema eti duo ya "Aubameyang & Lendandowski" itatupa shida sana. Maoni yako?

Barca wameanza kutupa shida hata auba na lewa hajaanza kucheza mpira. Barca kutupa shida ni kawaida maana wako kushindana na si kushindwa, ata mechi el classico kwao na kwetu ni kubwa kisoka.

Tusubiri msimu uanze sijatazama ata mechi 2 za Barca katika hii season mimi sio mdau wa pre season. Msimu uliopita niliwatazama na nikaona wana kitu wanakitafuta kupitia play style yao. Hope wataleta ushindani
 
Hello madridistas.

Nafurahi tumerejea sote kufurahia msimu mwingine kuitazama timu yetu. Preseason ndio imekolea hope tutakua na msimu bora na tutashinda vikombe.

Hola hola. Hala madrid
Ndio IMANI na Tumaini letu siku zote Mkuu., Nimekuwa nikifuatilia mazoezi vijana wanajitahid sana, na kitu nilichokiona tofauti msimu huu, vijana wengi wameajiri personal trainers, so wamerudi kambini wakiwa vizuri kweli kweli.,
Ni matumaini yangu kuwa tutakuwa na msimu mzuri.
 
Weakness gani na kwenye eneo gani ambalo unaona club haijalifanyia kazi!?

timu inahitaji Foward wakucheza nafasi ya kulia
Timu inahitaji defender either awe wakati au wa kushoto.
Timu inahitaji Backup ya Benzema.

Haya ni mambo ya msingi sana, Singing iliyofanywa ya kutatua tatizo ni moja tu ya Rudiger.
 
Ndio IMANI na Tumaini letu siku zote Mkuu., Nimekuwa nikifuatilia mazoezi vijana wanajitahid sana, na kitu nilichokiona tofauti msimu huu, vijana wengi wameajiri personal trainers, so wamerudi kambini wakiwa vizuri kweli kweli.,
Ni matumaini yangu kuwa tutakuwa na msimu mzuri.

Tusubiri wakati wa ligi kuanza
 
timu inahitaji Foward wakucheza nafasi ya kulia
Timu inahitaji defender either awe wakati au wa kushoto.
Timu inahitaji Backup ya Benzema.

Haya ni mambo ya msingi sana, Singing iliyofanywa ya kutatua tatizo ni moja tu ya Rudiger.

Timu imebalance kwa jinsi don anapanga timu yake forward backup tunao na mpango wa don ni kutrain hazard aweze kucheza false 9.

Right wing kwetu si shida maana kiasi rodrygo Na asensio wanaweza kuback. Ila kwa style nyingi Valverde akianza ilo eneo ndio analifanyia kazi overlaps zote.
 
Timu imebalance kwa jinsi don anapanga timu yake forward backup tunao na mpango wa don ni kutrain hazard aweze kucheza false 9.

Right wing kwetu si shida maana kiasi rodrygo Na asensio wanaweza kuback. Ila kwa style nyingi Valverde akianza ilo eneo ndio analifanyia kazi overlaps zote.

Nasikia hazard kashaumia tena huko
 
Timu imebalance kwa jinsi don anapanga timu yake forward backup tunao na mpango wa don ni kutrain hazard aweze kucheza false 9.

Right wing kwetu si shida maana kiasi rodrygo Na asensio wanaweza kuback. Ila kwa style nyingi Valverde akianza ilo eneo ndio analifanyia kazi overlaps zote.

Acha nyinyi muendelee ku balance wenzenu wanajiimarisha, Lewandowski sio mchezo wa kitoto ndugu. Kama ni suala la ku balance Barca wangelirizika na Auba, Ila hawakutaka kubahatisha,

Na kuendelea kumtumainia Hazard kwa lolote ni uwendawazimu.
 
Acha nyinyi muendelee ku balance wenzenu wanajiimarisha, Lewandowski sio mchezo wa kitoto ndugu. Kama ni suala la ku balance Barca wangelirizika na Auba, Ila hawakutaka kubahatisha,

Na kuendelea kumtumainia Hazard kwa lolote ni uwendawazimu.
Mkuu ninaona umekomaa na forward tu. Kwani hizo forward wanacheza wenyewe huko Uwanjani!?
Mimi ninachokiona ni kuwa team imebalance, tulikuwa na almost the same squad msimu uliopita, na bado malalamiko yalikuwa kama haya haya, vp matokeo mwisho wa msimu yalikuwa vp!?
Tupo kwenye transition, so ni lazima tuende mdogo mdogo, kwenye midfield tupo katika hatua nzuri, kwenye forward line Mbappé ndio aliharibu mipango yetu, ila sio shida sana bado scouts wetu wapo mzigoni kutafuta mchezaji sahihi wa kuja kuchukua namba ya Benzema.
 
Back
Top Bottom