Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Acha nyinyi muendelee ku balance wenzenu wanajiimarisha, Lewandowski sio mchezo wa kitoto ndugu. Kama ni suala la ku balance Barca wangelirizika na Auba, Ila hawakutaka kubahatisha,

Na kuendelea kumtumainia Hazard kwa lolote ni uwendawazimu.

So ulitaka tusajiri lewa ikiwa tuko na benzema kwenye best pick yake ya maisha ya soka. Ndio maana timu iliacha na lengo la haaland maana hatuwezi sajiri tricker mkubwa akuje kukaa benchi.

Najua utazungumzia swala la injury hapo ndio tunakuja na idea ya hazard kua false 9 even rodrygo anaweza fit. Tuna mariano na borja. Still kwetu si mbaya hivyo.

Sio kila mchezaji aliyeko sokoni anafaa kwa timu yako. Sisi ni Madrid na wao ni Barcelona
 

Real Madrid squad to face Barcelona​


REAL MADRID SQUAD:
Goalkeepers:
Courtois, Lunin, Luis López, Lucas Cañizares.
Defenders: E. Militão, Alaba, Vallejo, Nacho, Rüdiger, Mendy, Odriozola, Tobías.
Midfielder: Kroos, Modrić, Casemiro, Valverde, Lucas V., Tchouameni, D. Ceballos, Camavinga.
Forwards: Hazard, Asensio, Vini Jr., Rodrygo, Mariano, Latasa
 
So ulitaka tusajiri lewa ikiwa tuko na benzema kwenye best pick yake ya maisha ya soka. Ndio maana timu iliacha na lengo la haaland maana hatuwezi sajiri tricker mkubwa akuje kukaa benchi.

Najua utazungumzia swala la injury hapo ndio tunakuja na idea ya hazard kua false 9 even rodrygo anaweza fit. Tuna mariano na borja. Still kwetu si mbaya hivyo.

Sio kila mchezaji aliyeko sokoni anafaa kwa timu yako. Sisi ni Madrid na wao ni Barcelona

Mariano hata goli hajawahi kufunga bado unasema sio mbaya? hazard alifunga goli moja tu msimu mzima uliopita.
 
Acha nyinyi muendelee ku balance wenzenu wanajiimarisha, Lewandowski sio mchezo wa kitoto ndugu. Kama ni suala la ku balance Barca wangelirizika na Auba, Ila hawakutaka kubahatisha,

Na kuendelea kumtumainia Hazard kwa lolote ni uwendawazimu.
We jamaa bana . Kwamba huko nyuma hakujawahi kua na mchezaji zaidi ya Lewa au?

Hizi kelele tushazoea
 
Our starting XI
1658632721859.png
 
Hadi sasa team inacheza vizuri japokua tuko nyuma kwa goli moja.

Nimependa jinsi rodrygo anavyofanyia kazi ile wingi ya kulia aisee dogo anaimarika na talent yake.

Camavinga huyu kijana yuko na akili ya mpira anavyovitu muhimu japokuwa makosa yapo kama alivyotengeneza chance kwa ansufati. Ila ni talented

Valverde naona anakosa ubunifu zaidi akisogea juu hii game imekua ngumu kwake. Valverde nafikiri ni type ya midfielder za maelekezo

Rudger upande wa kushoto kajitahidi ila raphina barca wamepata mchezaji si fikiri kama dembele atamuweka nje dogo anacheza vizuri.

All in all tuko vizuri nafikiri kosa la militao kupiga back pass ndio kuzaa goli
 
Hadi sasa team inacheza vizuri japokua tuko nyuma kwa goli moja.

Nimependa jinsi rodrygo anavyofanyia kazi ile wingi ya kulia aisee dogo anaimarika na talent yake.

Camavinga huyu kijana yuko na akili ya mpira anavyovitu muhimu japokuwa makosa yapo kama alivyotengeneza chance kwa ansufati. Ila ni talented

Valverde naona anakosa ubunifu zaidi akisogea juu hii game imekua ngumu kwake. Valverde nafikiri ni type ya midfielder za maelekezo

Rudger upande wa kushoto kajitahidi ila raphina barca wamepata mchezaji si fikiri kama dembele atamuweka nje dogo anacheza vizuri.

All in all tuko vizuri nafikiri kosa la militao kupiga back pass ndio kuzaa goli
Ninaona kama vijana hawa hawakuenda likizo ila walienda pre season ndogo., wakiendelea na kujituma hivi basi tutakuwa na msimu mzuri sana.,
Camavinga msimu huu asipoondoka na namba ya mtu sijui, dogo yupo vizuri sana kiukweli., acha tuone na Kaka zao wamejiandaa vp.
 
Game nzuri ya kufanya maandalizi, kipindi cha pili team iliimarika zaidi, mambo madogo dogo tu ya kuweka Sawa ili team iwe na muunganiko mzuri.,
Wakuu kama ninaona Vallejo anacheza vizuri kwa utulivu mkubwa, ama ni kwasababu hakupata changamoto kubwa!?
Mariano ni muda atupishe sasa, ni bora tukabaki na Mayoral kiukweli.,
 
Ninaona kama vijana hawa hawakuenda likizo ila walienda pre season ndogo., wakiendelea na kujituma hivi basi tutakuwa na msimu mzuri sana.,
Camavinga msimu huu asipoondoka na namba ya mtu sijui, dogo yupo vizuri sana kiukweli., acha tuone na Kaka zao wamejiandaa vp.

Camavinga atapata mechi nyingi sana msimu huu vile tuu ajitume na zoezi basi. Kijana ana energy, akili.

Nimetazama pia false 9 ya rodrygo hayuko vibaya kijana pale mbele ni nzuri sasa. Nampenda alivyomtulivu ana open space pia na kupiga pasi kwa usahihi
 
Camavinga atapata mechi nyingi sana msimu huu vile tuu ajitume na zoezi basi. Kijana ana energy, akili.

Nimetazama pia false 9 ya rodrygo hayuko vibaya kijana pale mbele ni nzuri sasa. Nampenda alivyomtulivu ana open space pia na kupiga pasi kwa usahihi
Kiukweli Kroos na Valverde itabid wakae mguu pande, Dogo muda wowote atachukua nafasi ya mtu, yupo vizuri kwenye ukabaji pia ana utulivu akiwa na mpira, ni hazina kubwa sana kiukweli.
Hata Ancelotti atakuwa amegundua kuwa mtu sahihi wa kucheza False 9 ni Rodrygo na sio Hazard., ile nafasi kijana anaimudu, anatakiwa kuwa na watu sahihi tu uwanjani wataomchezesha vema.
 
Hello Madridistas., vijana wetu baadae Alfajiri watakuwa Uwanjani tena, game ya pili ya maandalizi ya msimu dhidi ya Club America kutoka Mexico.,
Muda ni 5:30hrs saa za Africa Mashariki, (saa kumi na moja na nusu).
Kama kawaida jamaa wa hesgoal.com hawawezi kukosa hii game, pia ninadhani mtanange utakuwa live pia YouTube.
 

Real Madrid's squad for Club América clash​


REAL MADRID SQUAD:
Goalkeepers:
Courtois, Lunin, Luis López, Lucas Cañizares.
Defenders: Militão, Alaba, Vallejo, Nacho, Rüdiger, Mendy, Odriozola, Tobías.
Midfielders: Kroos, Modrić, Casemiro, Valverde, Lucas V., Tchouameni, Ceballos, Camavinga.
Forwards: Hazard, Benzema, Asensio, Vini Jr., Rodrygo, Mariano, B. Mayoral, Latasa.
 
Back
Top Bottom