Rio Ferdinand on BT Sport: "I've never seen a harder route to the final. They've beaten the champions of France, the champions of England. It's taken my breath away. They put in a magnificent performance
Hiyo ya Mbabe ni clear offside. Hilo kosa la kimaamuzi lililofanyika hapo haliwezi kuhalalisha scenario inayofanana na hiyo kuamuliwa kama ilivyotokea hapo.
Sio offisde na ishaelezewa mara kibao, Nakumbuka hata Sisi Man U Tushawafunga Leeds Goli la Vile kwa Kichwa cha Radebe, Juzi juzi hapa Lovren Kachoma same Move,
Kama wewe Ni mwanamke Basi jaana utakuwa umebomolewa vya kutosha,😂😂 ilaa Kama wewe Ni men Basi itakuwa umepiga show ya maana 😂😂
Au nasema uwongo ndugu yangu?