Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,359
Weka notification Mkuu., itakusaidia endapo umepitiwa.Jana ata sikufahamu kama timu inacheza, majukumu yanakaba. Kikubwa timu imeshinda
Weka notification Mkuu., itakusaidia endapo umepitiwa.Jana ata sikufahamu kama timu inacheza, majukumu yanakaba. Kikubwa timu imeshinda
Luca leo kahamishwa upande, tunawabeba jamaa zetu hawa wabakiHata kama tunataka kuwabeba hawa jamaa wasishuke daraja, hatuwezi kucheza game mbovu hivi,
Ni kama tunacheza 3 5 2, ila hatusomeki, sioni Lucas Vazquez anacheza upande gani na sehemu gani, yaani kiukweli sielewi elewi., sijui ni nini kinaendelea huko Uwanjani.
Lakin hawabebekiLuca leo kahamishwa upande, tunawabeba jamaa zetu hawa wabaki
Mambo ya Kihuni haya, huo mpango hawakumshirikisha Lunin!? Kwasababu yeye ndio amekuwa kikwazo sasa.Luca leo kahamishwa upande, tunawabeba jamaa zetu hawa wabaki

Refa amenifurahisha sana kiukweli, alipiga filimbi nikadhani amefunika tuta kumbe alikuwa anamaliza mpira bana.,Refa wa leo ni team madrid haki ya nani![]()
Welcome Kylian Mbappe to the winning team:
View attachment 2228768
Goodbye Vini Jr, thank you for your service. All the best in your new endeavor at Juventus.
View attachment 2228770
Vini hawez kuondokaWelcome Kylian Mbappe to the winning team:
View attachment 2228768
Goodbye Vini Jr, thank you for your service. All the best in your new endeavor at Juventus.
View attachment 2228770